Notifications
Clear all

Dagaa wapya wamekaushwa na jua Moja

3 Posts
2 Users
1 Reactions
14 Views
(@kalagutuka)
Posts: 6
Balance 0.000
Topic starter
 

Niko kisiwa cha Moyo Moyo mkoa wa Kagera.

Kama kuna mtu anahitaji Dagaa na Fulu kwa bei ya offa comment chini.

 
Posted : May 7, 2025 5:13 am
Fishbuyer reacted
(@fishbuyer)
Posts: 5
Balance 0.000
 

Posted by: @kalagutuka

Niko kisiwa cha Moyo Moyo mkoa wa Kagera.

Kama kuna mtu anahitaji Dagaa na Fulu kwa bei ya offa comment chini.

bei gani

 

 
Posted : May 9, 2025 6:43 am
(@kalagutuka)
Posts: 6
Balance 0.000
Topic starter
 

Dagaa Nauza 

kuna Dagaa grade 1.

kuna Grade 2 

kuna Grade 3 

pia Fuli ni hivyo hivyo 

Dagaa 

Grade ya kwanza bei ni 8 bila usafiri 

Grade ya pili ni 7 bila Usafiri 

Grade ya tatu  6 bila usafiri 

 
Posted : May 9, 2025 7:56 am

Digxam

FREE
VIEW