Notifications
Clear all

OFFER Vibuyu Vitano vya masega ya exhaust Nampa zawadi mtu wa kwanza comment.

24 Posts
18 Users
11 Reactions
145 Views
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
Topic starter
 

Kama wewe ni mteja wangu wa spare za used kwa bei ya jumla comment chini nikupe zawadi ya bure ya masega,natoa zawadi bure  kwa watu wangu wanunuzi wa spare za jumla kwetu.Mzigo utaondoka Japan mwisho wa mwezi huu,wahi mapema uvichukue bure.

Kuhusu wizi wa Masega huko bongo.

,Magari mengi yamenyofolewa Masega ,Gari likipigwa masage linawaka mlio mbaya pia linabugia mafuta hatari sana ,kuna wamiliki wengi wa Magari hapo bongo wanatumia Magari bila masega wanajikuta wanatumia mafuta mengi kwenye mizunguko yao bila sababu,

Hii michezo inafanywa na baadhi ya mafundi Garage na baadhi ya madali wa Magari wasio waaminifu,utafiti bado aijulikani haya masega wanayafanyia kitu gani hadi kuwa na demand kubwa kiasi  hiki.

Tunampango wakufunga mashine za kupima masega  kufanyawepesi kwa  wamiliki wa Magari ya Petrol kungundua kama Magari yao yameibiwa masega.

Natao wito kwa wamiliki wote wa Magri ya Petrol,

  • Usinunu au Usikabidhiwi Gari bila kujua kama lina  masega.
  • Ukitaka kuuza Gari lako hakikisha Mafundi Gereji wanaokutenegzea Gari lako wasijue.
  • Hakikisha ukipeleka Gari kwa Fundi yeyote mwambia Gari langu lina Masega.
  • Hakikisha ukipeleka Gari lako kwa  dalali wa magari  mwambie kabisa  Gari langu  lina Masege full. 
  • Kuanzai leo peleka Gari lako Gereji kimya kimya bila kumshirikisha fundi wako kagua masega .
  • Hakikisha unatengeneza Gari lako sehemu Moja.
  • Baada ya Gari lako kuibiwa Masega usinunua masega ya mapya ya kichina.Katafute ya mtumba.

Masega ya napigwaje?

 

Zoezi la wizi wa masege linachukua zaidi ya dk 30 hado lisaa inategema na aina ya Gari na ukubwa wa kibuyu ,hicho kibuyu uchanwa  na Gesi au Grander kisha  wanatoa chekecheo zinazofanana na masega ya asali,baada ya kuchukua masega kisha uchukuwa  vitu vigumu kama nyaya au  vitu vigumu kuungua na moto wa Exhaust, urudishia vizuri  kibuyu  na kukichoma upya,baada ya muda Gari uanza kutoa mungurumo tofauti kama vile Exhaust imekatika, ningumu kuhisi kama Gari lako limepigwa tukio la masega kwasabu uchukua muda mrefu  kubadili mlio.

Sio kila Gari la Petrol lina Masege kuna baadhi ya Magari na baadhi ya Makampuni utumia mifumo tofauti,huu nfumo  wa  masege ni kwa magari yote ya Petrol ya Japan na baadhi ya magari japo sio yote.

 

 

 

masega

 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : February 6, 2025 12:21 pm
AKAMBA reacted
Amalio
(@amalio)
Posts: 5
Customer Current Balance 700.000
 

@jonson-john Kwakuwa nampango waku uza  spare used za Magari,naomba zawadi hii nipewe mimi.

 
Posted : February 6, 2025 12:26 pm
AKAMBA
(@stomatolog_xwsn)
Posts: 11
0.000
 

Bro mimi naomba uniuzie kibuyu kimoko .Gari langu limeibiwa kibuyu cha masege nikaenda kununua kipya dukani lakini bado mlio na ulaji wa mafuta tatizo liko palepale,naomba uniuzi kimoja original nitashukuru sana 🫶🫶🫶

 
Posted : February 6, 2025 12:31 pm
Hope
 Hope
(@hope)
Posts: 9
0.000
 

Nimekuumia ujumbe kwenye whatspp yako naomba nijibu.

 
Posted : February 6, 2025 12:36 pm
Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 

Hapo kwenye vibuyu umepiga kwenye mshono bro fanya utusaidi hili ni janga la kitaifa.

Mimi Gari langu limelambwa masega lakini pia Gari la shemeji yangu pia limepigwa Masega.

 

Kavipi tafuta container la masega hapo Japan watangazie watu wote wanahitaji masega kwajili ya Magari yao tutanunua kaka.

Bongo hadi magari ya wanajeshi na askari yanapigwa masega.

 
Posted : February 6, 2025 12:47 pm
Rebecca
(@rebecca)
Posts: 4
Customer Current Balance 500,000
 

Ila bongo kuna mambo ya kiwaki sana.

Hivi wakiyaiba wanayapeleka wapi?

 
Posted : February 6, 2025 1:19 pm
Tatu reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

Tatu
 Tatu
(@tatu)
Posts: 15
0.000
 

@rebecca 🤣🤣🤣🤣🤣🫢🫢🫢🫢

 
Posted : February 6, 2025 1:23 pm
Okra
 Okra
(@okra)
Posts: 7
Deposit 50,000
 

Posted by: @rebecca

Ila bongo kuna mambo ya kiwaki sana.

Hivi wakiyaiba wanayapeleka wapi?

Nasikia wanayatengeneza visungura.

 

 
Posted : February 6, 2025 1:27 pm
(@mjasiriamali)
Posts: 15
0.000
 

@okra 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Wabongo ni wagunduzi.

 
Posted : February 6, 2025 1:31 pm
Zulu reacted
(@mama-sadiki)
Posts: 2
0.000
 

Nasikia yanatengeza sikanka ya high grade.

 
Posted : February 6, 2025 1:36 pm
Zulu reacted
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 38
Deposit 100,000
 

@mama-sadiki Haya masega bongo  yamekuwa kama Albino,nikinunua Gari likifika  bongo kazi ya kwanza kuyafungua na kuyaficha chumbani

 
Posted : February 6, 2025 1:42 pm
AKAMBA, Sniper and Zulu reacted
 Zulu
(@zulu)
Posts: 24
0.000
 

@ngaliba Inadi utembee nayo shingoni  kama cheni ya dhaabu.🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

 
Posted : February 6, 2025 3:30 pm
Sniper reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 

Kwanini Makampuni ya Magari yasibadilishe nfumo wakaachana na Masega?

 
Posted : February 6, 2025 3:41 pm
AKAMBA reacted
AKAMBA
(@stomatolog_xwsn)
Posts: 11
0.000
 

@sniper Sio shida  zao,sisi wote niwa kwao. 🤣🤣🤣🤣🤣

 
Posted : February 6, 2025 3:49 pm
Xai reacted
Bahati
(@bahati)
Posts: 9
Deposit 50,000
 

Ngoja nikaangalie Gari langu kama yamo au wameyagema.

 
Posted : February 6, 2025 3:55 pm
Xai
 Xai
(@xai)
Posts: 2
0.000
 

Hii ni fursa nataka nianzishe kampuni ya kufunga masega kabla ya kuibiwa na ku-track Masema baada ya kuibiwa.

 
Posted : February 6, 2025 4:07 pm
Amalio
(@amalio)
Posts: 5
Customer Current Balance 700.000
 

Kuna siku niliuliza mafundi mbona ka mulio kamebadilika huko nyuma  kwenye Exhaust, nikaambiwa feni hiyo bosi duh sikujali sana Kumbe mambo ni fire 🔥 hivi. 

 
Posted : February 6, 2025 4:17 pm
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 38
Deposit 100,000
 

@amalio Naomba elfu 10,000 nitulize maumivu ya masega.

 
Posted : February 6, 2025 4:23 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

SHIRA
(@shira)
Posts: 6
0.000
 

Mbona mnaolalamika ni wengi hivi mnataka tuamini kwamba wote mna Magar huku ndani?

 

 
Posted : February 6, 2025 4:28 pm
Furaha
(@furaha)
Posts: 31
 

Kumeanza kuchangamka.

 
Posted : February 6, 2025 4:32 pm
Grolly reacted
Grolly
(@grolly)
Posts: 6
0.000
 

Ngoja ni kahakiki simu yangu kama yamo maana Juzi nilipeleka kwa fundi.

 
Posted : February 6, 2025 4:37 pm
 Asha
(@asha)
Posts: 2
0.000
 

Kuna mtu tumeruka wote kwenye Daladala tunagombania site naona comment yake hapo juu 👆🏿anadai Gari lake kalipaki kwasabu umeme umekwama kutoka kwenye  insurance kwenye but kwasabu ya kutolewa masagega😂😂😂😂

 
Posted : February 6, 2025 4:53 pm
Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 

Mimi kila nimkabidhi fundi Gari na muonyesha picha.

 

 

 
Posted : February 16, 2025 8:28 am
Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 

Posted by: @sniper

Mimi

kila nimkabidhi fundi Gari na muonyesha picha

 

 

 
Posted : February 16, 2025 8:45 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW