Hii inachukua muda gani kufika?
Nahitaji Memory Card Camera.
@hope Your parcel PMF788291 has been sent with tracking number: EJ66300xxxxxxxxxxxxxJP
Please, track your parcel on your behalf to receive items in time.
Delivery status can be checked here: http://www.post.japanpost.jp/cgi-charge/index.php?lang%3D_en&source=gmail&ust=1739017555844000&usg=AOvVaw0jcVsKTjrXnWppVX-FL7U 7" data-removefontsize="true" data-originalcomputedfontsize="16"> http://www.post.japanpost.jp/cgi-charge/index.php?lang=_en
Please, send us email to admin@digxam.site when you receive the parcel PMF788291 with tracking number EJ663xxxxxxxxxxxxxJP.
@hope Vipi mzigo umepata? kama umepata mzigo wako ukapokea ukakuta uko vizuri nilifikiri jambo la kwanza ungekuja hapa na kutuambi furaha yako au manunguniko yako, kuujulisha umma wa watumiaji wa digxam na watu wengine woanataka kuagiza simu laptops na vitungine wafanyeje,
Lakini jambo lapili huu nfumo wa DIG-PAY ni nfumo ambo mimi muuzaji siwezi kutoa pesa kwenye wallet yako bila wewe kupokea mzigo nakujilidhisha kwamba kitu ulichokinunua ndicho tulicho kubalina ,kukaa kimya baada ya kupokea mzigo unachelesha pesa yangu bro.
Naomba realese hii pesa kwenye account leo au kama unamalalamiko kuhusu bidhaa yangu basi naomba ufungu dispute mtagi @admin au mimi ni fungue dhidi yako kwakushindwa kutumia kanunu za onolne business,mimi sinaga kazi mbovu pia niko kitango kwenye game.
@ally-kanagawa Mzigo nimepokea hakunashida tatizo mimi ni malayngu ya kwanza kutumia huduma hii kwaiyo bado ni mwanafunzi naomba unisamehe bure.
Simu kweli ni mzuri sana sioni kama kuna kipengele pamoja na accessories zote zipo nimezipata asante sana.
Najaribu kutoa hii pesa imegoma pia nikijaribu kutuma kwako sioni ikikuba sasa sijui nifanyeje.
Hiyo pesa haiwezi kutoka wana uwezi kunulilia kitu chochote kwasabu umefungua trade na mimi yenye value hiyo hivyo basi option pekee ni kuituma kwangu ukishindwa namba @admin fanya mambo.
Tayari nimekubali.
Safi sana kazi mzuri.