Notifications
Clear all

OFFER Tunatengeneza Stickers za Aina Mbalimbali

13 Posts
7 Users
5 Reactions
81 Views
KANU
 KANU
(@kanu)
Posts: 4
Service Provider
Topic starter
 

Habari Wapendwa 

Kama unahitaji Ku print Stickers kwajili ya Office yako,Nyumbani au kwenye Gari lako naomba unipatie kazi.

 

Niko Dar lakini hata kama uko mkoa naomba kazi.Nitumie picha na maandishi pamoja na size ya bango.bei itategemea na ukubwa wa kazi.

Karibuni wot

DBE7DA17 2698 4F44 BDB5 76AA57CE3059
1187B466 C82B 4A87 A91E 6B5DA7AAF747
C6486C46 E4BB 4A02 956C 073E7312C5BB

 

 

 
Posted : February 3, 2025 8:19 pm
Okra, Tiba Dioniz, Karumuna and 1 people reacted
Huruma
(@huruma)
Posts: 2
0.000
 

@kanu Mfano mimi niko huku ingunga nikutumia hela  usipo nitumia itakuwaje nitamudai nani?

 
Posted : February 4, 2025 5:12 am
Karumuna
(@karumuna)
Posts: 2
0.000
 

Hata mimi najiuliza swali kama hili.nashida hii huduma.

 
Posted : February 4, 2025 5:27 am
Tiba Dioniz
(@tiba-dioniz)
Posts: 4
0.000
 

Hawa watoa huduma muda mwingine wanazingua risk ni kubwa sana unamtu kaweka picha moja hivi ukiingalia una conclude kwamba nitapoteza 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭  

 
Posted : February 4, 2025 5:41 am
KANU
 KANU
(@kanu)
Posts: 4
Service Provider
Topic starter
 

Habari za Asubuhi!

Nashukurusa sana comments zenu hapa japokuwa mnajaji mtu kwasabu ya jina au picha mnaona siosawa kumpa kazi atakimbia na hela yako?

Niwatoe wasiwasi hakuna mtu wa kukimbia na hela za watu hapa jukwaani hapa sio fb  na x iko hivi,japokuwa napatashaka kwamba wabongo sio watu wakusama policy na miongozo kabla ya kufanya jambo lolote,ukisoma miongozo ya hili jukwaa kabla ya kujiungu kuna Kipengele cha kanuni kinasema hivi:-

Sio lazima mtumiaji wa platform hii kutumia jina lake la ukweli anawe kutumia jina lolote pia kuna kipengele kinasema sio lazima kutumia picha yako  ya ukweli kipengele hiko kinaendelea kusema kwamba watumiaji wote watumiaji platform hii bila kulazimishwa ainaga ya picha au jina la mtumiaji except admin pekee ndio mwenye mamlaka ya kujua majina ya mtumia pengine na picha yake kama kuna sababu ya kupata taarifa hizo.

 

Kanuni zinaendele kusema kwamba feature ya DIG-PAY itasimamia uaslama wa miamala kwa wauzaji na uasalama wa mizigo kwa wa nunuzi nadhani hapa ndio kuna shida ya kutokuelewa tofauti ya hii platform na fb.

The money  have been reserved from the buyer’s Digxam wallet, so that if the seller runs away with your money and doesn’t send  the items, the Digxam’ support team can release the money  for you from the Dig-Pay wallet.

Au mimi sielewi kizungu hapo juu?

Kama kuna mfumo huu wa kulinda pande zote kati ya mnunuzi na muuzaji ndugu zangu mnaogopa nini kunipa kazi,hii maana yake nini?

Tukishakubalina bei ya kazi unatweka hela kwenye Dig-Pay kile kiasi ambacho tumekubaliana mimi nakutumia mzigo wako ukipokea mzigo wako ukaangalia uko sawa push button ya pay unalipa hela yangu sasa kwa mazigira haya picha ngu unaitaka ya nini?

 
Posted : February 4, 2025 6:12 am
Karumuna
(@karumuna)
Posts: 2
0.000
 

@kanu Maana yake nini kwa kiswahili?

 
Posted : February 4, 2025 6:30 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Huruma
(@huruma)
Posts: 2
0.000
 

Tafri yake nini hapo?

 
Posted : February 4, 2025 6:38 am
(@mjasiriamali)
Posts: 15
0.000
 

Hapa mnabishania nini?

 
Posted : February 4, 2025 6:42 am
(@mjasiriamali)
Posts: 15
0.000
 

The money  have been reserved from the buyer’s Digxam wallet, so that if the seller runs away with your money and doesn’t send  the items, the Digxam’ support team can release the money  for you from the Dig-Pay wallet.

 
Posted : February 4, 2025 6:44 am
Okra
 Okra
(@okra)
Posts: 7
Deposit 50,000
 

Posted by: @mjasiriamali

The money  have been reserved from the buyer’s Digxam wallet, so that if the seller runs away with your money and doesn’t send  the items, the Digxam’ support team can release the money  for you from the Dig-Pay wallet.

Hii kusema ukweli nikuwa sijui kama kuna  kitu kama hiko.

 

 
Posted : February 4, 2025 6:52 am
(@mjasiriamali)
Posts: 15
0.000
 

@okra Utajuaje kilasiku uko kwenye jukwaa la wachumba.

 
Posted : February 4, 2025 7:09 am
Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
 

Hapa nimeisha elewa muhimu ni namba aweke namba yenye whatspp hapa tuchati nae kupitia kwenye hiyo namba ila malipo tulipa kwa DIg-Pay.

Makubaliano yote tuyatunze kwenye whatspp namba atakayoweka hapo ikitoka mambo yakaenda ndivyo sivyo basi tutakuwa na ushahidi wa kumuonyesha admin atarudishie pesa zetu.

 
Posted : February 4, 2025 8:07 am
KANU reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

KANU
 KANU
(@kanu)
Posts: 4
Service Provider
Topic starter
 

@omega Kwa mahita ya huduma za 3D Designing, Graphics ,Printing nicheki kwenye namba hii 0685 723613

 
Posted : February 4, 2025 9:30 am

Digxam

FREE
VIEW