Notifications
Clear all

NAFASI ZA KAZI. NAFASI YA KAZI YA KUPIKA KWENYE RESTAURANT.

1 Posts
1 Users
1 Reactions
157 Views
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
Balance 0.000
Topic starter
 

Kama ukoa SOTHAFRICA AU TANZANIA TUWASILIANE.

Uzoefu ni muhimu sana kwenye mambo ya Mapishi,anatakiwa mtu mwenye uzofu na jiko la kuchoma nyama pamoja na  kupiga vyakula  vifutavyo.

  • NDIZI BUKOBA 
  • UGALI
  • WALI
  • NYAMA CHOMA
  • MCHEMSHO WA SAMAKI 
  • MCHEMSHO WA NGOBE 
  • NYAMA ZA KUCHOMA 

MSHAHARA 

  • South Africa Rand 3,000.
  • 400,000 pesa za Kitanzania.

Kama unamtu wako wako unajua kabisa anaweza kulimdu Jiko share hii page nae.

 
Posted : December 21, 2024 6:50 am

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
 
Preview 0 Revisions Saved

DIGXAM

FREE
VIEW