Nina laptop ya Toshiba imezingua kinyama imezima ghafla sijajua shinda nini mafundi naomba masaada wenu.
@sniper Ningu kujua chanzo cha tatizo labda ungesema ulipo watu wakutafute wakuangalizie tatizo.
@sniper Uko mkoa Gani?
Niko Kibaha boss wangu.