Leo nimekuja hapa na habari njema kuhusu hili zao la Ndizi,ningependa week tujadili kuhusu faida ya ndizi.
@prof-kandinda Hii kitu sura sio ngeni ila kunasehemu naweza kupata mzigo mkubwasana kama vipi nipe kazi niingie mtaani.
@prof-kandinda Hii kilo moja inaendaje boss? Hii kikwetu tunaina Moyoni.
@Sniper Asante kwa mchango wako.Bei elekezi inakuja soon.
@prof-kandinda Nyie mliko mbele endelea kufanya tafiti na ugunduzi wa vitu sisi huku umesha stak yaani huku tumeisha kaachini tunangoja Neema ya Mungu.
@prof-kandinda Hii tunaita ndambii kikwetu.
Hii biashara ipo kweli?
The banana blossom market is expected to grow, with a projected valuation of US\$653 million by 2030
Faida za Kiafya:
Hizi ni baadhi ya content zilizomo, Bikamka bana,kujifunza zijinsi:
Tukutane kwenye comments section nipe maone yako.