Notifications
Clear all

ONLINE AUCTION [Sticky] JINSI YA KUSHIRIKI MINADA ONLINE

18 Posts
7 Users
3 Reactions
430 Views
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

1.UTARATIBI WA KUSHIRIKI UKO HIVI:-

  1. Lazima uwe mwanachama  wa DIG-PESA,
  2. Gharama ya DIG-PESA ni 1,000. 
  3. Au Uwe na Kifurushi chochote. 
  4. Gharama Muda wake ni Mwaka moja.
  5. DIG-PESA itakuwezesha kushiriki minada bila kutangulisha kiasi chochote.
  6. Bei ya kujiunga inaweza kupanda muda wowote bila maelezo.

2.JINSI YA KULIPIA CARD YA KUSHIRIKI KWENYE MINDA.

  • Tumia lipa kwa simu.
  • Mtandao wa  :TIGO.
  • Namba ya Lipa : 175 561 26
  • Jina :Digxam Trades 

3.KUJARIBU NI BURE.

  • Wasiliana na Admin.
  • Ukitana mnada wako uwe pined hapa juu utalipa 1,000.
  • Ukitaka Kutumia Tag au jinalako  la biashara au jina lolote  utalipa 2,000.

4.UKISHALIPIA ADA YAKO YA MWAKA KWAJILI YA KUSHIRIKI MINADA.

  • Utaweza kushiri minda yote itakayowekwa hapa.
  • Ukishinda mnada utapaswa kulipa bidhaa yako   ndani ya masaa 24.
  • Umri sio chini ya miaka 18.
  • Ushiriki mnada bilakujua gharama zote,pamoja na gharama za usafiri.

5.WASHIRIKI KUTOKA SEHEMU YOYOTE NDANI NA NJE YA NCHI.

  • Kama utakuwa nje ya nchi uliza utaratibu wa kutuma ada.
  • Kama uko ndani ya nchi tumia hiyo lipa namba.
  • Mshiriki  yoyote anaweza kuweka mnada wake na watu wengine wakanunua,
  • Thama ya bidhaa   isizidi thamani ya laki tano.
  • Weka mnada wako siku 5 kabla ya Tarehe ya mnada. 

6.MASHARTI YA MINDA.

  • Malipoa yote yatafanyika kwa kutumia nfumo wa DIG-PAY.
  • Ukiweka bidhaa yako kwenye manda malipo ya yatafayika kupita kwenye Lipa namba hii 175 561 26.
  • Mzigo utasafirishwa hadi kwenye ofice zetu,pia unaweza kumtumia mwenye mzigo wake kabla ya kupokea pesa.
  • Biashara ikishindikana mnunuzi atarudishiwa pesa zake.
  • Makato ya kutuma pesa ni juu ya mtumaji.
  • Usifanya malipo au kuwasilina na muuzaji nje ya hii website yetu.
  • Usiweke namba za simu au barua pepe kwenye tangazo lako la mnada litafutwa.
  • Minada itaanza tarehe 01/12/2024.
  • Mnada wako utakaa hewani ndani ya week moja.

7.JINSI YA KUWEKA MNADA WAKO.

HH
  • Jisajili.
  • Lipia ada yako 1,000
  • Au kifurushi chochote.
  • Weka mnada wako kufuta maelekezo hapo juu kwenye picha.

8

.JINSI YA KUBID.

  • Chagua Mnada. 
  • Weka mnada wako mapema 
  • Soma kichwa cha habari kujua mnada gani unataka.
  • Bonyeza kwenye mdanda.
  • Andika kiasi.
  • Tuma.

9.MAWASILINO KWAJILI YA KUJIUNGA.

  • Piga namba hii :+255 712 7082 45
  • Wahtaspp :+81 80 2071 7421.
  • Email: info@digxam.site
aucc
 
Posted : November 15, 2024 9:27 pm
Jonson Rumanyika
(@jonson-rumanyika)
Posts: 7
0.000
 

@digxam Nimekulewa.

 
Posted : November 16, 2024 5:18 am
Jonson Rumanyika
(@jonson-rumanyika)
Posts: 7
0.000
 

Swali  mbona nikitaka kulipia 1,000 inakatwa kiasi cha 1050 naomba ufafanuzi kidogo.

Tayari nimeshalipia naomba uniweke nafasi ya mbele hapo.Ricept ya malipo iko hapo chini.

 

image
 
Posted : November 16, 2024 5:23 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@jonson-rumanyika Asante kwakujisajili kwenye mnada wa online siku ya leo.

 
Posted : November 16, 2024 5:28 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@jonson-rumanyika Hiyo 50 ni kodi ya Serekali boss wangu.

 
Posted : November 16, 2024 5:44 am
Doreen Kagaruki
(@doreen-kagaruki)
Posts: 9
0.000
 

Nalipia leo ada ya wanachama wangu wekeni bidhaa tununue,malipoa tayari.

image
 
Posted : November 16, 2024 5:54 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

Amani Isaya
(@amani-isaya)
Posts: 3
0.000
 

Swali langu ni hivi ikifika tarahe 1/12 sijalipia itakuwa?

 
Posted : November 16, 2024 6:04 am
Sherlyn reacted
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@amani-isaya Utashindwa  kushiriki minada, bora ulipie mapema kukukwepa  usumbufu unaweza kujitokeza.

 
Posted : November 16, 2024 6:15 am
Amani Isaya
(@amani-isaya)
Posts: 3
0.000
 

Buku buku umefanya fear sana.

 
Posted : November 16, 2024 6:17 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@amani-isaya Karibu sana.

 
Posted : November 16, 2024 6:19 am
Amani Isaya
(@amani-isaya)
Posts: 3
0.000
 

Tayari nimelipia,angalia jina la Amani Isaya hapa.

 
Posted : November 16, 2024 6:21 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@amani-isaya Asante.

 
Posted : November 16, 2024 6:23 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Glory Ivan
(@glory-ivan)
Posts: 5
 

Naomba niungwe kwenye mnada tayari nimeisha toa buku hapo mh admin naomba angalia jina Glory Ivan hapo.

 
Posted : November 16, 2024 7:03 am
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@glory-ivan Sawa tayari.

 
Posted : November 16, 2024 7:15 am
Glory Ivan
(@glory-ivan)
Posts: 5
 

Pamoja sana Digxam.

 
Posted : November 16, 2024 7:23 am
Sherlyn
(@sherlyn)
Posts: 4
 

Tayari nimelipia Jina ni Shereen S. Shamsa. 

 
Posted : November 16, 2024 7:35 am
Sherlyn and Digxam reacted
Digxam
(@digxam)
Posts: 55
Admin
Topic starter
 

@sherlyn Tayari umeunganishwa karibu sana.

 
Posted : November 16, 2024 7:39 am
(@sandra)
Posts: 1
0.000
 

@digxam Twende polepole,huu mnada ndio ukoje?

 
Posted : November 16, 2024 10:13 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW