Notifications
Clear all

SHINDA 30,000 [Sticky] WEKA PICHA YENYE MVUTO USHINDE PESA

31 Posts
15 Users
102 Reactions
304 Views
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
Topic starter
 

 

67682B92 5D8B 4678 9041 C103B9DBF353

 

SHINDANO!!

Weka Picha yoyote yenye mvuto ipigiwe kura ushine 30,000.!

VIGEZO 

  • Tunapokea post 50  zenye picha mzuri kisha zinapigiwa kura tunapata mshindi.
  • Mshindi uatapkea pesa kwa njia ya simu au Bank.
  • Umri usio pungua 18 
  • Mshindi atajulikana kesho saa kama hizi 10/29/2024 saa 13:15 kwasa saa za africa Mashariki,
  • Baada ya kupost picha omba watu kwenye mitandao ya kijamii wakupigie kura ushinde zawadi hii.
  • Unaweza kupost mala 5 picha tofauti kila moja itajitegemea.

SHINDANO HILI LIMEDHAMINIWA NA DIGXAM LIPA KWA SIMU

 
Posted : October 29, 2024 10:06 am
Kidedea, Debora, Mziwanda and 21 people reacted
(@teddy-methio)
Posts: 3
0.000
 
20130730173149
 
Posted : October 29, 2024 10:20 am
(@teddy-methio)
Posts: 3
0.000
 

@veronica-victor Tunaruhusiwa kuweka picha post zaidi ya moja eet?

 
Posted : October 29, 2024 10:21 am
(@alex-andrea)
Posts: 1
0.000
 

Sante dada kwakutupa nafasi hii.

IMG 20160426 175722

 

 
Posted : October 29, 2024 10:38 am
Alex Andrea reacted
(@alex-andrean)
Posts: 2
0.000
 

Naomba kura yako wadau,najua hii 30,000 niyangu mtaniunga mkono itanisaidia kwenye mishe zangu za unguzi wa hapa na pale.

ndoto

 

 
Posted : October 29, 2024 10:53 am
Mtakakwa, Mbuta Likasu, Tatu and 5 people reacted
(@alex-andrean)
Posts: 2
0.000
 

@veronica-victor Ubarikiwe dada yangu.

 
Posted : October 29, 2024 10:54 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@magreth-mbaka)
Posts: 4
0.000
 

Shalom!

Kwaajina naitwa Magreth Mbaka mkazi wa Singida,kama umewai kufika Singida kuna sehemu moja kunaitwa Kisigi hapa ni nyumbani.Kuhusu shindani hili naamini watu wote mtanipigia kura niweze kushinda hii 30,000 itanisaidia sana kwenye mipango yangu ya ujasiliamari,natangu shukurani kwadau wote waandaaji washiriki pamoja na piga kura, Asante.

20130730173430

 

 
Posted : October 29, 2024 11:54 am
Mziwanda, Mbuta Likasu, Bosco Mtanganda and 2 people reacted
(@leonard-living)
Posts: 3
0.000
 

@magreth-mbaka Kura yangu umepata mrembo.

Namba namba yako tuyajenge

 
Posted : October 29, 2024 12:02 pm
(@magreth-mbaka)
Posts: 4
0.000
 

Kama uwezi kunipigia kura hadi nikupe namba basi kura yako peleka kwingine.

 
Posted : October 29, 2024 12:04 pm
(@leonard-living)
Posts: 3
0.000
 

@magreth-mbaka Kura yangu tayari mbona.

 
Posted : October 29, 2024 12:05 pm
(@magreth-mbaka)
Posts: 4
0.000
 

Sio kweli ikowapi?

 
Posted : October 29, 2024 12:06 pm
(@leonard-living)
Posts: 3
0.000
 
419DD524 0E21 48F7 AE30 11E478DCB92F

Nikipa hii 30,000 ni parefu sana shamba langu la mbaazi nanunua dawa ya kuua wadudu.Jamani naombeni Kura kilimo nikilakitu.

 
Posted : October 29, 2024 12:15 pm
Mziwanda, Sniper, Joyce Ivan and 1 people reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

(@bosco-mtanganda)
Posts: 2
0.000
 

@alex-andrean Hii picha yako?

 
Posted : October 29, 2024 12:22 pm
(@bosco-mtanganda)
Posts: 2
0.000
 
4E2CC70B 8D32 416D 814B 1D09E1400F18
 
Posted : October 29, 2024 12:25 pm
Mziwanda, Sniper, Kangaroo and 1 people reacted
(@joyce-ivan)
Posts: 1
0.000
 
38A2A3C2 1AD7 483C 9E8D 70A561688899

Nilienda kukopa unga nikafika nikakuta mazingira kama unavyojiona hapo juu kwenye picha.Ndugu zanguu njaa inauma usipime.

 
Posted : October 29, 2024 12:43 pm
Mtakakwa, Mbuta Likasu, Tatu and 8 people reacted
(@magreth-mbaka)
Posts: 4
0.000
 

@joyce-ivan Duh hii ni hatari sana

 
Posted : October 29, 2024 12:46 pm
Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 
mjasi

Sijauza hata jero Tangu asubuhi ndugu zangu naomba kura ndunguu na njaaa hatari.

 
Posted : October 29, 2024 12:59 pm
(@kangaroo)
Posts: 1
0.000
 
1CE0ED46 E802 428F 8554 737A2DF85792

Hii 30 yakwangu ngojeni ya kwenu,kura zote kwangu waungwana.

 
Posted : October 29, 2024 1:16 pm
Mziwanda, Mbuta Likasu, Hirano Motohiro and 4 people reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

Sniper
(@sniper)
Posts: 71
Deposit 50,000
 

@kangaroo Heeeeee hatari sana.

 
Posted : October 29, 2024 1:19 pm
(@ngereja)
Posts: 1
0.000
 
kashi

Maisha yetu kama unavyo jionea hapa kwenye picha ndugu zangu hii 30,000 tutanunua dagaa na unga siku inasongo naomba kura yako.

 
Posted : October 29, 2024 3:08 pm
Stacey Stroud, Brooke Allise, Gaucho and 12 people reacted
(@karuta)
Posts: 27
Deposit 100,000
 

@ngereja Pole ndio maisha.

 
Posted : October 29, 2024 3:23 pm
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 38
Deposit 100,000
 

@ngereja Pole mkuu.

 
Posted : October 29, 2024 3:28 pm
(@jailos)
Posts: 4
0.000
 

Kalibun jaman handoo kwetu nawapenda nikipata hii 30,000 utakuwa mtaji wangu wakuanzia Maisha,kiukweli huku kijijini maisha ni magumu sana,naomba kura yako ni hii pate hii pesa.

nn

 

 
Posted : October 30, 2024 5:54 am
Nfaume, Debora, Siawa and 13 people reacted
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
Topic starter
 

Tumepata mshindi wetu wa tozo la shilling 30,000.Ningependa kumtangaza @jailos kama mshindi wa shindano letu kwa ushindi wa kura 16 kati ya 15 kwakumzidi kura 1 tu.

Naomba maelekezo jinsi ya kutuma hii pesa yako.

 

baada ya muda kuisha uwezi kupiga kura ikakubali itagoma.

 
Posted : October 30, 2024 10:20 am
Nfaume reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
Topic starter
 

@jailos Umejipatia kiasi cha shilling 30 elfu.

Naomba maelekezo jinsi ya kutuma pesa yako.

 
Posted : October 30, 2024 10:21 am
(@jailos)
Posts: 4
0.000
 

@veronica-victor Nawashukuru sana Watanzania kwakupigia kura nakuibuka mshindi wa 30,000Tsh Mungu wabariki sana.

 
Posted : October 30, 2024 12:08 pm
(@jailos)
Posts: 4
0.000
 

@veronica-victor Naomba unirushie kwenye namba ya wakala hii hapa.TIGO 612590 JINA NI PAULO ALOYCE HAMARO.

 
Posted : October 30, 2024 12:11 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
Topic starter
 

SAWA NAKUTUMIA.

 
Posted : October 30, 2024 12:13 pm
Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
Topic starter
 

Malipo ya mshindi wetu wa  shindano (la weka picha yenye mvuto upate elefu 30 tayari  yamekamilika.

  • Nawapongeza  washiriki wote asante kwa shiriki.
  • Naomba washikiriki wote TUMPONGEZE mshindi wetu wa leo.
  • Tuendelee kushiriki mashindano mengina kama haya.
  • Mama unataka kunchangia chohote namba hiyo hapo chini.
  • Mungu wabarikia.

 

Polish 20241030 151442400
  • Kushiruki shindano jipya la (POST PICHA YA KUCHEKESHA USHINDE ELFU 30 LEO BONYEZA HAPA.)
  • Kushiriki shindano la  (TUWEKEE GARI LINALOPENDWA SANA USHINDE ZAWADI YA 1ML 2024 BONYEZA HAPA)
 
Posted : October 30, 2024 12:17 pm
(@careen-frank)
Posts: 4
0.000
 

@veronica-victor Nimekuelewa.

 
Posted : November 9, 2024 9:13 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@careen-frank)
Posts: 4
0.000
 

Ngoja nianzishe shindano langu si inakubalika?

 
Posted : November 9, 2024 9:14 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW