Habari Wadau!
Tukutane kwenye comment sections,ukiwahi comment ikitokea nafasi utaitwa wa kwanza.Share hii post iwafikie watu wengi.
Habari Boss Lady! naomba nikafanye kazi ya modulator nitaifanya hii kazi kwa uaminifu mkubwa 20/7,niko interested sana,nashukuru kwakutonyesha dira sio lazima kuajiriwa mafisini na viwandani kilasiku upande daladala.
Naomba kitengo cha spare za Magari nifanyie mpango nije Japan naweza kukata Magari kwajili ya Spare.
Niweke popote nafti vizuri,kwakifupi niko vizuri sana kwenye mambo ya Digital marketing.
@sweetheart Kuwa specific umebobea kwenye Digital Marketing sehemu gani?
@sweetheart Sawa Karibu sana ikitokea tutakuzingatia.
Naomba nitafutie nafasi yoyote hata kwenye logistics Japan au SouthAfrica Niko tayari.
Niko Dar Es Salaam,na Degree ya moja ya uchumi.
@sweetheart nitumie details zako kwenye info@digxam.site
Da Vero habari za huko,naomba nikutumie CV zangu kwenye hiyo email ya info.
Hii ndio nini rudi kamuulize vizuri aliekutuma.
@veronica-victor Kuna mtu kaweka Tangazo huku facebook madam nimefata maelezo yake.
Sawa double check hiyo number aiko sawa.
Sawa karibu nimekuunga moja kwamoja kwenye training.
@veronica-victor Niko Tayari Kufanya KAZI na Nyingi
Mimi ni content creator Nimesoma Digital marketing na Copywriting
Tuwasiliane
Call & WhatsApp
📲+255765113961
📧 paulaneckas@gmail.com
Sawa karibu sana nitakutafuta.
@veronica-victor Niko Tayari Kufanya kazi
Mimi ni content creator +255768453622