Notifications
Clear all

GREETINGS! Naomba Ushauri wenu wapi ni nunue Gari kati ya nchi zifuatazo Tanzania ,Africa Kusini.Japan Duai wapi kwa uzoefu wako?

5 Posts
5 Users
0 Reactions
129 Views
 Rado
(@rado)
Posts: 7
0.000
Topic starter
 

Habari zenu wadau,swali langu ni fupi wapi kati ya hizo nchi nimezitaja hapo juu nikaagize Gari au kunua Gari,kama unauzoefu nambo ushauri wako.

 
Posted : October 16, 2024 3:59 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 131
Seller
 

Gari gani unataka kuagiza niku ushauri.

 
Posted : October 16, 2024 4:03 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

Tutajie bajet yako aina ya Gari unahitaji tutakushauri.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : October 16, 2024 4:07 am
(@lucas)
Posts: 18
Car Dealers
 

Unataka aina gari ya Gari?

  • Truck
  • Gari Dogo 
  • Basi

Unataka Gari 

  • Jipya 
  • Mtumba?
 
Posted : October 16, 2024 4:17 am
(@makarius)
Posts: 5
Car Dealers
 

Kuna Magari yanapatika Japan ukiyatafuta South Afrika au Dubai upati pia kna Magari yanapatikana South Africa ukiyatafuta Dubai au Japan upati,ebu funguka unataka Gari gani? 

 
Posted : October 16, 2024 4:25 am

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
 
Preview 0 Revisions Saved

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW