Notifications
Clear all

GREETINGS! MAPYA YAIBUKA KUHUSU PUFF DADDY

11 Posts
11 Users
0 Reactions
59 Views
 Nana
(@nana)
Posts: 15
0.000
Topic starter
 

Hivi nikweli Diamond alipewa mwaliko na Puff Daddy?

 

Mtoto wa mwanajeshi wa Jeshi la Anga la Marekani, aliyelelewa kwenye misingi ya Kikatoliki. Akawa Muimba muziki aliyeshinda mpaka tuzo za Grammy na Producer aliyewatoa wasanii wengi. Tajiri Bilionea mwenye makampuni makubwa, P Diddy mwenye miaka 54 ameshtua wengi kwa mambo yake.

image
 
Posted : September 28, 2024 9:22 am
(@marioh)
Posts: 7
Deposit 200,000
 

Kuna watu ambao waliwahi tu kupiga picha na Diddy ila kwasasa wanajuta jumbo bovu wanawaangukia bila kuhusika kwenye kshfa iliyomkumba.

 
Posted : September 28, 2024 9:42 am
(@marius-julius)
Posts: 6
0.000
 

Nasikia kawapelekea moto wasanii wengi maarufu wa kiume kisha kuwapa pesa ndefu .

 
Posted : September 28, 2024 9:45 am
(@ray-kabugumila)
Posts: 15
Deposit 100,000
 

@marius-julius 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

 
Posted : September 28, 2024 9:49 am
Ngaliba
(@ngaliba)
Posts: 38
Deposit 100,000
 

The good thing about Diddy nobody has a pregnant or claiming about matumizi ya mtoto 🤣 🤣 🤣 😎   

 
Posted : September 28, 2024 10:09 am
Zaituni
(@zaituni)
Posts: 21
0.000
 

Hili naliwe fundisho usije ukaona mtu anamalizake  ukamshobokea i seee watu wanapelekewa miaotoooo hatari kisha wanawepa hela au michingo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 

 
Posted : September 28, 2024 10:14 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 
WAMTIA P.DIDDY MATATANI BAADA YAKUMPA UMAARUFU.
Msanii mkongwe na maarufu duniani KANYE WEST anasema kwamba yanayofichuka kwasasa kuhusu rapa P-DIDDY alishawahi kuyasema miaka miwili iliyopita ila watu walimuona chizi. Amesema aliyokua anafanya P-DIDDY yanatokana na masharti ya illuminati inayomuongoza.
"Mfano wao ni raisi tu, kwanza wanakupa nguvu ili waweze kuku-control na pale watakaposhindwa kuku-control wanakupoteza na kukunyang'anya kila kitu"
KANYE WEST ametaja pia baadhi ya mastaa wanaongozwa na illuminati akiwemo MEEKMILL, DIDDY, JAY-Z, BEYONCE, DR-DRE na wengine.
(Illuminati) Wana hasira juu yangu kwasababu wameshindwa Kuni control wanawaweza kum-control JAY-Z NA BEYONCE, DIDDY Na kila mtu lakini sio mimi, wanataka mimi niwe KANYE WEST lakini mimi ni #YE mtu pekee anayeweza kuni-control na kunivunjia heshima kama akitaka ni MUNGU TU.
Mama yangu leo hii hayupo kwasababu walimtoa kafara, MICHEL JORDAN alimtoa kafara baba yake, DR-DRE alimtoa kafara mtoto wake wa kiume
Kama ukiwa Hollywood, unatoa kafara nyingi ili tu wakupe nguvu, umaarufu na pesa halafu Wana ku-control unakuwa chini yao. MUNGU ananipenda na ndio maana nilimrudia na kuwa MKRISTO.
Nilipokuwa chini yao hawakuwa na chochote cha kutumia dhidi yangu na badala yake walichukua kilakitu nilichonacho ikiwemo dili la ADIDAS, baada ya kuchukua kila kitu, Jarida la Forbes lenye chuki dhidi yangu lilikuwa la kwanza kuchapisha taarifa kuwa (utajiri wa KANYE WEST ni dolla milioni 400) na niliishia kucheka tu kwasababu mimi bado ni bilionea. YESU ni mfalme na MUNGU ananipenda.
Hivyo nasema ukweli huu ikiwa mungu yupo upande wangu basi hakuna kitu kitanitokea " - KANYE WEST
Wasanii wetu, umaarufu mzuri ni ule anao kupa Mungu alie juu mbinguni, sio kikundi cha watu wenye malengo ya upotofu. ✍️

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : September 29, 2024 4:42 am
 Good
(@good)
Posts: 18
0.000
 

Halloooooooooooooooooo!

 
Posted : September 29, 2024 6:37 am
(@dalali-mziefu-kariakoo)
Posts: 34
0.000
 

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 

 
Posted : September 29, 2024 12:43 pm
Tatu
 Tatu
(@tatu)
Posts: 15
0.000
 

Hatari sana

 
Posted : September 29, 2024 12:44 pm
 Kada
(@kada)
Posts: 4
0.000
 

Hii Dunia nipishe nishuke.

 
Posted : September 29, 2024 2:28 pm

Digxam

FREE
VIEW