Notifications
Clear all

Kwanini Vibaka wanaongezeka mtaani?

1 Posts
1 Users
1 Reactions
68 Views
Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
Topic starter
 

Kati ya picha nilizo kuta nazo jana Mtandaoni Hii picha imeniumiza sana 🥹 imenitoa machozi, imagine unakuwa mwizi. Hadi inafika mahali unatakiwa kuuwawa kwa kuchomwa moto na Matairi mbele ya Mama yako mzazi 😭😭 Huyu mama atakuwa na kumbukumbu gani akikumbuka namna jinsi alivyo Mpoteza kijana wake kinyama namna hii👇

20240824 154744

 

 

 
Posted : August 24, 2024 12:53 pm
Zokinassibu reacted

Digxam

FREE
VIEW