Notifications
Clear all

MCHUMBA. Kama unatoka mkoa wa Kagera Unakaribishwa

23 Posts
10 Users
11 Reactions
201 Views
(@kashangaki)
Posts: 20
Topic starter
 

 

4B3E0584 6E8F 4D4A 9CE8 E9809CE94024

Hii page inahusu wenyeji wa Mkoa Kagera tu.

 

Jitambulishe kwa lugha zinazotumika mkoani Kagera kisha twendelee.

 
Posted : June 25, 2024 7:17 am
(@kabundamwigusi)
Posts: 5
 

 

Kwajina naitwa kabunda mwingusi,omuka ni Kagya Bugabo.

 

kuna hii habari ina trend kwenye magroup ya whatspp sijui kama inaukweli wowote

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba kuna mlipuko wa kipindu pindu kwenye maeneo yetu ya Bugabo. Ni muhimu kuchukua tahadhari kubwa kuepuka kula hovyo vyakula ambavyo hujui maandalizi na utunzwaji wake, kula na Kunywa vyakula na vitu vya moto siyo viporo, Oga kwa kutumia maji safi na salama siyo maji ya madimbwi.
Acha kusalimiana kwa mikono maana ugonjwa huu unaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Waelimishe watoto waache kula hovyo na kwa sasa kuepuka kutembelea baadhi ya maeneo yenye mkusanyiko wa watu wengi kama mwaloni ambako huko hali siyo nzuri.

Watu wachimbe mashimo marefu ya vyoo na vifunikwe.
kipindupindu usababishwa na uchafu na kuchochewa na miundo mbinu duni ya mazingira hasa maji taka.

Kipindupindu kinaua kwa haraka na hakibagui lakini mgonjwa au mwenye dalili za kipindupindu kama kuharisha, kutapika, tumbo kuuma na mwili kuishiwa nguvu apelekwe hospitali haraka kwa uchunguzi na matibabu.
Tuongee na ndugu zetu huko vijijini pamoja na kuwashauri viongozi namna ya kuboresha na kusimamia swala zima la usafi wa mazingira.

Watu watoke kwenye vyanzo vya maji mita sitini kama zamani ilivyo kuwa. Sasa hivi wanajenga humo na wengine wanafugia humo na kutiririsha uchafu kwenye maji ambayo yanatumiwa na binadamu.
Tusichoke kutoa elimu kwa jamii na mtu mmoja mmoja.

 
Posted : June 25, 2024 7:26 am
Kaganda and Kashangaki reacted
(@kayungi)
Posts: 17
Unlimited Member
 

@kabundamwigusi wakola Munonga inye owaitu ni Nyanga omwata Tasalapioni ambangi mbamumanya omzee ni maarufu sana.karibu naishi kibada Kigambini.

 
Posted : June 25, 2024 5:49 pm
Kandida
(@kandida)
Posts: 23
0.000
 

Tulimu bangi twemanye choka,muntwekele akamwani tikalumusha,owaitu ni Ibosa.

 

munyegele munonga.

 
Posted : June 25, 2024 5:54 pm
(@kashangaki)
Posts: 20
Topic starter
 

Nipiga Ebila ila na kashuli mbabiguza mkaa banaba batata tumbilumusha.

C465C5C9 7153 4422 ABD8 EC2640507480

 

 
Posted : June 25, 2024 5:59 pm
(@kashangaki)
Posts: 20
Topic starter
 

EIYEMBE EKIKUNILA KYAMALILA ABANA .kwaisani ya Saida Karoli Eiyembe usiku mwema mubyamege.

 
Posted : June 25, 2024 7:19 pm
Tokuworld and Kandida reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Kandida
(@kandida)
Posts: 23
0.000
 

Chonka iwe nasheaka🤣🤣🤣🤣🤣nguu kyajwala kyalinga Ekikunila kyagya omwamananka chonka kyamukalaki eyoooh! 🤫🤫🤫🤫🤫kyamukole elabaa choka Saida ebingambo kabiayaa?

 
Posted : June 25, 2024 7:29 pm
Kabanza reacted
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 14
0.000
 

Mwakola muno abamuko,owaitu ni Katoma kagege,mtula kunu omahanga Zanzibar ni nana Ebilo bingi kunu,mwasheza chonka,nibanyeza mwije kunkyalila  kunu.

 

 
Posted : June 25, 2024 8:27 pm
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 14
0.000
 

@kandida Nakoma byalagala nalya na lyomugushu,neyembe ti yembe ekikunila kyamalila abana leka 🤣🤣🤣🤣🤣.

 
Posted : June 25, 2024 8:29 pm
Kabanza
(@kabanza)
Posts: 14
0.000
 

@kashangaki mbabisela kunu Zanzibar leka.

 
Posted : June 25, 2024 8:30 pm
Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
 

@kashangaki Eyembe ni nini?

 
Posted : June 25, 2024 8:57 pm
Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
 

Wahaya 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿.

 
Posted : June 25, 2024 8:58 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
 

@kashangaki Napenda sana huu wimbo japokua sielewini content yake nini naomba mtusaidie tafusri kwa kiswahili au kingereza.

 
Posted : June 25, 2024 9:00 pm
Kaganda
(@kaganda)
Posts: 49
 

Posted by: @kashangaki
wakola owatata kumbe mulimu.

 

-- attachment is not available --

Hii page inahusu wenyeji wa Mkoa Kagera tu.

 

Jitambulishe kwa lugha zinazotumika mkoani Kagera kisha twendelee.

 

 
Posted : June 25, 2024 9:05 pm
Kaganda
(@kaganda)
Posts: 49
 

Akabala kange banyeta Kagandaza,omuka ni kibeta kalabagaine,nimbasiima muno mwakola abomuka munyegele Kibeta.

 
Posted : June 25, 2024 9:09 pm
Kaganda
(@kaganda)
Posts: 49
 

@kashangaki Chonka kyajwala kyalinga🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

 
Posted : June 25, 2024 9:12 pm
Jailes Mwesigwa
(@jailes-mwesigwa)
Posts: 7
0.000
 

Mwakola.

 
Posted : June 26, 2024 3:32 pm
Kandida
(@kandida)
Posts: 23
0.000
 
B26BF48E 6E75 442C B071 2CE9F6F598CF

Nauza fungu 1,000

 
Posted : June 26, 2024 6:38 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Natasha Kazimoto
(@natasha-kazimoto)
Posts: 19
Deposit 200,000
 

@kandida Noguza ota ?

 
Posted : June 27, 2024 5:03 am
Natasha Kazimoto
(@natasha-kazimoto)
Posts: 19
Deposit 200,000
 

Mbunge wa Karagwe hipi huyu kapiga kwenye mshono

 
Posted : June 27, 2024 5:17 am
Tokuworld reacted
(@kabundamwigusi)
Posts: 5
 
595FC294 725A 4937 87AE AC93C7849BBF

Karibu ujipatie Senene Mbezi kuanzia elfu moja, 1000, Stendi ya Malamba mawili, 0787218855,

 
Posted : July 15, 2024 10:31 am
Omega
(@omega)
Posts: 45
0.000
 

@kabundamwigusi  Weka namba ya simu

 
Posted : July 20, 2024 5:29 pm
Grace Ngalawa
(@grace-ngalawa)
Posts: 36
Deposit 200,000
 

Safi sana Watani zangu.

 
Posted : August 24, 2024 6:59 am

Digxam

FREE
VIEW