Notifications
Clear all

MADA AFFILIATE AU DIGITAL MARKETING NI KAZI INAYOHUSISHA KUTAFUTA MASOKO YA BIDHAA AU HUDUMA KUPITIA "DIGITAL CHANNELS".

2 Posts
2 Users
1 Reactions
92 Views
Moderator
(@moderator)
Posts: 111
Moderator
Topic starter
 

 

Fursa za ajira ziko mbili;
1. Kujiajiri
Hapa utakuwa freelancer una share bidhaa plaform yetu    kwenye mitandao ya kijamii nakutapa watu ambao watakufanya ulipwe kulingana na idai ya watu utakao wapata au mtu akinunua kitu utapata pasent kulinga na bei ya hizo bidhaa masoko n.k

2. Kuajiriwa
Badaa ya kufanya vizuri katika unaweza kuajiriwa na kuliwa kila mwezi lakini kwa njia ya online itategea na nakujituma kwako kutafuta watu nakuongeza idadi ya watu kwenye account yako ya malipo,kila kazi inachangamoto yake kikubwa ni nia ya kutaka kufanyikisha kile unachokiamini baada ya mwaka moja unakuelewa vizuri haya maneni yangu, 

 

Kuna njia nyingi za kufanya Marketing 

  • Traditional marketing
  • Digital marketing

 

Tofauti yake na traditional marketing ni kwamba ,traditional marketing inatumia traditional methods kama radio, Tv, mabango n.k.

Faida kubwa ya digital marketing ni specific  na data analysis.
Kwamba unatangaza huduma/bidhaa kwa walengwa wako maalumu kupitia channel wanazozitumia zaidi, pia unaweza kupata data zinazoonyesha umefanikiwa au umeshindwa kupitia campaign au maudhui yako. Tofauti na traditional marketing yenyewe ni Generalized na haina data

Digital marketing ina branch kubwa tano(5)
-Search engine optimization & marketing
-Social media management & marketing
-Email marketing
-Content marketing
-Paid advertising (baada ya kupata watu)

Kozi ya digital marketing sio ngumu sana inatakiwa unjanja kupata watu wengi wakutembelea kazi zako.
Kila mtu anaweza kuwa  expert wa digital marketer, kwa changamoto kuhusu digital marketing na jinsi ya kupata masoko kupitia mitandao  zipo lakini ukijifunza na kutulia unatoboa.

Shuka hapa chini bonyeza buttons vitufe  vya share,kisha share content zetu kwenye mitandao ya kijamii. 

 

 

 

Share pages zetu ujipatie Zawadi kemkemke,kama Laptops,Simu Janja,Saa za smart nk,kujiunga Bonyeza Link

 
Posted : May 27, 2024 6:42 am
Kaganda reacted
(@maggy)
Posts: 2
0.000
 

@moderator OK, kwa hiyo ninachotakiwa kushare ni page au website mzima?

 
Posted : May 28, 2024 5:51 am

Digxam

FREE
VIEW