Notifications
Clear all

Digxam TUAMBIA CHANGAMOTO ZIPI AU KERO UMEKUTANA NAZO?

19 Posts
9 Users
9 Reactions
449 Views
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Habari wateja wetu wapendwa.

 

Kunachangamoto zipi umekutananazo baada na kabla ya kutumia huduma zetu?

 
Posted : May 15, 2024 7:42 am
(@dubai-used-parts)
Posts: 6
Unlimited Member
 

Jukwaa la Japan linaongoza changamoto nyingi pale, watu wanalinga sana ukiuliza kitu utajibiwa baada ya week moja na kilasiku wako online naomba tuanze na hapo Japan kwanza.

 
Posted : May 15, 2024 7:58 am
Furaha
(@furaha)
Posts: 31
 

Napokea Email nyingi sana kutoka hapa kwenye hii website yenu yaani kila kitu kikipotiwa hapa napata naweza je kuzipunguza angalau ziwe chache jamani too much.

 
Posted : May 15, 2024 8:10 am
Furaha
(@furaha)
Posts: 31
 

Kwanini nikiweka Oder kwanjia ya whatspp sijibiwi nimefanya hivyo zaidi ya mala moja.

 
Posted : May 15, 2024 8:13 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @dubai-used-parts

Jukwaa la Japan linaongoza changamoto nyingi pale, watu wanalinga sana ukiuliza kitu utajibiwa baada ya week moja na kilasiku wako online naomba tuanze na hapo Japan kwanza.

@jonson-john utusaidie kujibu swali hili mteja kauliza.

 

 
Posted : May 15, 2024 8:17 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @furaha

Napokea Email nyingi sana kutoka hapa kwenye hii website yenu yaani kila kitu kikipotiwa hapa napata naweza je kuzipunguza angalau ziwe chache jamani too much.

Pole sana,ume Subscribe topics na Post zote ndio maana.

Fanya mambo yafuatayo.

1.Log in 

2.ingia kwenye my profile.

3.Bonyeza Subscribe 

4.Un Subscriber all Onda tiki pale.

5.Chagua jukwaa gani au topics gani unataka ku Subscriber Kisha weka tuki.

6.Kama hutaki notification acha wazi usitiki kitu chochote,baada ya kufanya hivyo tatizo lako tukakwisha kabisa.

 

 
Posted : May 15, 2024 8:31 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @furaha

Kwanini nikiweka Oder kwanjia ya whatspp sijibiwi nimefanya hivyo zaidi ya mala moja.

Swali lako la pili kuhusu whatspp kuweka oder na kutokujibibwa.

1.Kwenye kanuni zetu nikosa kutotokumjibu mteja, pole sana kwa usumbufu,nalifanyia kazi.naomba kujua namba hipi ulitumia ili nifatilie kwaukaribu sana.

2.Lakini kupokea oder kwanjia ya whatspp au kuoiga simu kanuni zetu zinakataza unatakiwa kupiga simu au kutuma ujumbe wa whatspp kwajili ya kupewa maelekezo jinsi ya kuweka oder zako.

3.Utaratibu wa kuweka oder ni kufungua Thread na kutoa maelezo ya nini unataka utajibiwa kupitia kwenye thread yako 

 

 
Posted : May 15, 2024 8:37 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

Posted by: @Anonymous

Posted by: @dubai-used-parts

Jukwaa la Japan linaongoza changamoto nyingi pale, watu wanalinga sana ukiuliza kitu utajibiwa baada ya week moja na kilasiku wako online naomba tuanze na hapo Japan kwanza.

@jonson-john utusaidie kujibu swali hili mteja kauliza.

 

Kwanza naomba msamaha kwangu binafsi na kwaniaba ya sellers wengine kwenye hili jukwaa la Japan kwa kutokujibu wateja kwa muda.

 

Naomba mlalamikaji ange sema seller yupi ili @admin uweze kujua pakuanzia badala kutuhumu jukwaa zima ambalo lina sellers zaidi 10 sitaki kuamini kwamba wote hawa walichelewa kujibu ujumbe wako.

Pili kuna tatizo la wateja kutokujaza form zao ambazo uturahisisha  kuwasiliana nao nje ya Thread zao,baadhi wakiwaja wanaweka namba zisizo na whatspp hivyo panakuwa na ugumu kuwasiliana nao kwanjia za whatspp ili kupunguza gharama za mawasiliano.

hii form inapatikanahapa jaza vizuri kisha submit nitakutafuta haraka sana na kukuhudumia.

Pia Kuna seller wasiojua kiswahili lakini tukiwa na mawasiliano na wewe tutakutafuta kwanjia ya whatspp.

 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : May 15, 2024 8:55 am
Mzawa
(@mzawa)
Posts: 17
Karibu! Public Figure
 

Mimi nika ya wapenzi na wafatiliaji wa jukwaa la SouthAfrica kwasabu kuna vitu vingi nahitaji kutoka kule lakini kuna mtu moja pale kama Mungu mtu nilimwambia anitafutie vifaa vya Toyota Fortuna tangu last year kakataa kata kata hawa ndio wanarudisha nyuma hii platform ukiwaondoa mtapata wateja wengi.

 
Posted : May 15, 2024 9:10 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@mzawa Anatwa nani?

 
Posted : May 15, 2024 9:11 am
Mzawa
(@mzawa)
Posts: 17
Karibu! Public Figure
 

@GP-logistics 

 
Posted : May 15, 2024 9:14 am
(@makoroboi)
Posts: 7
0.000
 

Nakazia hapo Africa Kusini kuna tatizo,niliukiza Grader hadi leo sijajibiwa.

 
Posted : May 15, 2024 9:25 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Ikikupendeza unaweza kutusaidia majibu @GP-logistics  ya wateja wetu wawili hapo.

 
Posted : May 15, 2024 9:29 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 131
Seller
 

Posted by: @mzawa

Mimi nika ya wapenzi na wafatiliaji wa jukwaa la SouthAfrica kwasabu kuna vitu vingi nahitaji kutoka kule lakini kuna mtu moja pale kama Mungu mtu nilimwambia anitafutie vifaa vya Toyota Fortuna tangu last year kakataa kata kata hawa ndio wanarudisha nyuma hii platform ukiwaondoa mtapata wateja wengi.

Sio kweli last year sikuwa member hapa Ebu acha mkuu kila siku natoa huduma hapa.

 

 
Posted : May 15, 2024 2:49 pm
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 131
Seller
 

Posted by: @makoroboi

Nakazia hapo Africa Kusini kuna tatizo,niliukiza Grader hadi leo sijajibiwa.

Nilikumbia ulipie membership ya Trusted ukalalambele hadi leo.

Nadhani acheni kupotosha leta kero kama zipo zutatuliwe.

 

 
Posted : May 15, 2024 2:52 pm
 Rama
(@rama)
Posts: 32
0.000
 

Niliomba kutafutiwa spare za Gari langu hadi leo kimya.

@jonson-john 

 
Posted : May 15, 2024 3:01 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

Posted by: @rama

Niliomba kutafutiwa spare za Gari langu hadi leo kimya.

@jonson-john 

Sikukataa Bali nilikuambia  ulipie membership ukagoma na uzi  wako huuhapa

 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : May 15, 2024 3:10 pm
 Rama
(@rama)
Posts: 32
0.000
 

Sikupewa Maelezo ya kutosha zaidi ya kukaa kimya.

 
Posted : May 15, 2024 3:12 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Veronica Victor
(@veronica-victor)
Posts: 185
Admin
 

@admin Kuboresha huduma uliza sawali,Post au Comment,naku like post hii.

 
Posted : October 27, 2024 3:14 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW