Nauza container la 20 FT Niko Dar.
Bei ni 3ml
@furaha BADO LIPO?
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿