Kumbe yule jamaaa alikua serious alitoa?
Nifanyie mpango wa simu moja nitakupa 150k.
Nilizikosa kidogo sana unabahati sana.ukiuza nitumia hata elfu 10 mtu wangu.
We are waiting for new offers Madam @Yuki
Yaani iliniuma sana,Sikujua kama madam alikua serious.
Hii naitaka mkuu.
Mbona rahisi sana weka balance kwenye wallet yako nikutumie mzigo.Yaani iliniuma sana,Sikujua kama madam alikua serious.
Nitakupa tuombe heriNilizikosa kidogo sana unabahati sana.ukiuza nitumia hata elfu 10 mtu wangu.
Hiyo bei ningumu.Kumbe yule jamaaa alikua serious alitoa?
Nifanyie mpango wa simu moja nitakupa 150k.
Acha umbea dogo,Nilizikosa kidogo sana unabahati sana.ukiuza nitumia hata elfu 10 mtu wangu.
Unauzaje bei kubwa wakati simu zenyewe umepewa bure wabongo bwana.
Mshindi wetu ni mpambanaji sana.
Nitaichukua.
Simu 7 kwa kwa 50k @moja anauza 200k ngodi umetema.
Kesho nitakuweka 150k
Hizo zitakuwa simu original hizo
Nakupa pesa zote mkuu,fanya 100k x 700,000
800k chukua fasta zote.
Tayari salio linasoma mcheki admin
Nahitaji simu mkuu tuongee bishara.