Notifications
Clear all

New SA Ford Everest 3.0d V6

50 Posts
6 Users
1 Reactions
2,149 Views
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 
Natafuta
Ford Everest 3.0d V6  AWD Auto kutoka South Africa.
 
 
Posted : April 27, 2024 5:03 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

130ml bei ya manunuzu.

 
Posted : April 27, 2024 5:22 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

@gp-logistics unaweza kunitumia picha video more details?

 
Posted : April 27, 2024 5:38 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Posted by: @zuhura

@gp-logistics unaweza kunitumia picha video more details?

Inabidi ulipie kifurushi cha unlimited nitakupa taafira zote kuhusu hili Gari? 

 

 
Posted : April 27, 2024 5:43 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

@gp-logistics Nalipaje hicho kifurushi nikishalipa mta refund au ita deduct kwenye price au ikoje?

 
Posted : April 27, 2024 6:04 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

@zuhura Hii ni non refundable ni membership ,kwa maelezo zaidi wasilina na @admin

 
Posted : April 27, 2024 6:11 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

sawa

 
Posted : April 27, 2024 4:45 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 247
 

Kama uko Tayari kulipia bonyeza hapa.

 
Posted : April 27, 2024 6:11 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Tayari nimelipia

 
Posted : April 28, 2024 4:33 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 
image
image
image
image
image
  • Mileage 000 km
  • Drive Type4X4
  • Transmission Automatic
  • Fuel Diesel
  • Consumption 8.5 l/100km
  • Engine Cap 2993 cc
  • Registration Year: 2023
  • No of Seats: 7
  • No of Doors: 5
  • Body Type: Sports Utility Vehicle (SUV)
  • Variant:3.0d V6 Platinum AWD Auto
  • Fuel Tank Capacity:77 l
  • Cylinder Layout:V6
  • Kilowatts:184 kW
  • Drive: FR
  • Gears:10
  • Spare Key:Yes
  • Maintenance plan: 2030/02/17
  • Warranty:2030/01/17
  • VEHICLE FEATURES

  • Car Play or Android Auto
  • Reverse camera
  • Auto stop-start
  • Kuna Rangi nyeusi na Orange unapenda rangi gani?

Hii ni bei ya manunuzi 130ml hii bei ya manunu,kuna gharama zingine baada ya manunuzi.

 

 
Posted : April 28, 2024 2:47 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Rangi nyeusi napenda pia ukipata video itakuwa vizuri zaidi,pia ghrama zote nimuhi sana.

 
Posted : April 28, 2024 3:10 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Mambo ya ushuru pia nikipata hata makisio yake.

 
Posted : April 28, 2024 3:11 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Pamoja na njia ya kulisafirisha kama ni barabara au baharini.

 
Posted : April 28, 2024 3:12 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Nimeona kama pic up staki pic up nanataka Gari lenye bodo ya kawaida.

 
Posted : April 28, 2024 3:14 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Posted by: @zuhura

Rangi nyeusi napenda pia ukipata video itakuwa vizuri zaidi,pia ghrama zote nimuhi sana.

Kuna option unaweza kulipia ushuru baada ya Gari kufika Boda au kutumia bond Gari likasafirishwa hadi  Dar kisha ukalipia ushuru baada ya kufika Dar. 

 

 
Posted : April 28, 2024 3:19 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Posted by: @zuhura

Nimeona kama pic up staki pic up nanataka Gari lenye bodo ya kawaida.

Body Type: Sports Utility Vehicle (SUV)

 

 
Posted : April 28, 2024 3:21 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Posted by: @zuhura

Pamoja na njia ya kulisafirisha kama ni barabara au baharini.

Barabara ni rahisi kuliko njia ya baharini.

 

 
Posted : April 28, 2024 3:22 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Posted by: @zuhura

Rangi nyeusi napenda pia ukipata video itakuwa vizuri zaidi,pia ghrama zote nimuhi sana.

Sawa nikutumiamia.

 

 
Posted : April 28, 2024 3:24 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Naomba ujaze hii form kwenye sehemu ya namba ya simu weka namba ya whatspp kuna baadhi ya vitu nitakutumia kwanjia ya simu.

 
Posted : April 28, 2024 3:27 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Posted by: @zuhura

Naomba ujaze hii form kwenye sehemu ya namba ya simu weka namba ya whatspp kuna baadhi ya vitu nitakutumia kwanjia ya simu.

Form ikowapi?

 

 
Posted : April 28, 2024 3:31 pm
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

@zuhura  bonyeza kwenye neno form itakupeleka kwenye from Jaza Kisha submit.

 
Posted : April 28, 2024 3:40 pm
Zuhura reacted
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Tayari

 
Posted : April 28, 2024 3:44 pm
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Hii video ya pili Rangi nyeusi.

 
Posted : April 28, 2024 3:49 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Sawa.

 
Posted : April 28, 2024 3:52 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Naomba ingia whatspp 

 
Posted : April 30, 2024 4:57 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 
IMG 20230903 WA0016
IMG 20230903 WA0015
 
Posted : April 30, 2024 5:01 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Hizo documents kuziandaa  zinachukua muda gani?

 
Posted : May 2, 2024 3:40 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Siku mbili tu.

 
Posted : May 2, 2024 8:06 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

What is going on,GP Logistics.

 
Posted : May 4, 2024 6:03 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Posted by: @zuhura

What is going on,GP Logistics.

Watu wako Botswana wameondoka saa tisa usiku huu ujumbe nikweli?.

 

 
Posted : May 6, 2024 7:25 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Jiandae kuwapokea boda. nimeta ujumbe huu kwanjia ya whatspp 

 
Posted : May 6, 2024 7:26 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Posted by: @zuhura

Jiandae kuwapokea boda. nimeta ujumbe huu kwanjia ya whatspp 

Nikweli nimekutumia mimi kesho watakuwa Zambia.

 

 
Posted : May 6, 2024 7:44 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Sawa safari njema.

 
Posted : May 6, 2024 5:00 pm
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Habar za asubihi 

 
Posted : May 7, 2024 6:41 am
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Posts: 36
DIG-PESA
 

update zikoje.

 
Posted : May 7, 2024 6:53 am
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Posts: 36
DIG-PESA
 

nimekuwa interested wakuu na Ford South ni nanafuu sana eeh?

 
Posted : May 7, 2024 6:54 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Watakuwa wamefika wapi?

 
Posted : May 7, 2024 6:57 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Habari mzuri,wako Zambia tayari  boda ya Kazungula hadi jana saa nne.

 
Posted : May 7, 2024 7:00 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Kesho mapema watakuwa  boda Tunduma.

 
Posted : May 7, 2024 7:02 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Tunduma 

 
Posted : May 8, 2024 5:02 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 
IMG 20230903 WA0013
 
Posted : May 9, 2024 2:23 am
(@sunday)
Posts: 18
Unlimited Member
 

Discavery 4 bei gani.

 
Posted : May 9, 2024 5:47 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Safi sana mko smart sana.

 
Posted : May 10, 2024 2:53 am
Kilimanjaro
(@kilimanjaro)
Posts: 36
DIG-PESA
 

Nataka Prado ya mwaka huu. naipataje?

 
Posted : May 10, 2024 2:58 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Posted by: @kilimanjaro

Nataka Prado ya mwaka huu. naipataje?

Fungua thread mpya utape bei.

 

 
Posted : May 10, 2024 2:59 pm
Dura
 Dura
(@dura)
Posts: 29
Service Provider
 

Mnatumia bodo zipi kupitisha Magari?

 
Posted : May 12, 2024 11:03 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 
3E867423 3215 4263 855C C6B812DBF43A

Tunduma 

 
Posted : May 12, 2024 11:06 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Kasumulu 

 
Posted : May 12, 2024 11:20 am
(@zuhura)
Posts: 34
Unlimited Member
Topic starter
 

Habari nimetafuta menu ya hili Gari sijaiona nimepekua kila sehemu mnaweza kunitumia please.

 
Posted : May 15, 2024 7:32 am
GP Logistics
(@gp-logistics)
Posts: 137
Seller
 

Posted by: @zuhura

Habari nimetafuta menu ya hili Gari sijaiona nimepekua kila sehemu mnaweza kunitumia please.

Please Double check ziko mbili nika ya vitu ambavyo niliona kwa macho yangu i hope zipo zote. 

 

 
Posted : May 15, 2024 7:50 am

Digxam

FREE
VIEW