Notifications
Clear all

[Solved] Ni saa gani smart naweza kupata kwa bajet ya 80 elfu?

16 Posts
2 Users
0 Reactions
460 Views
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Habar , bilashaka natumai mu wazima wa afya tele.....!

Bila kupoteza tym naomba niende moja kwa moja kwenye point yangu, nimekuwa nikitaman kwa muda kuvaa saa ya smart ila nashindwa kufanya ivyo kutokana na ushamba wangu wa kutofaham ni saa gan naweza kuvaa kwa bajet yangu ya 80 elf...

Sasa basi kwa faida na ya watu wengine ni saa gan smart naweza kupata kwa bajet ya 80 elf? Natumai nitapata majibu ya kutosha umu jukwaan kwan hapa ndio mtandao pekee wanye masuluhisho ya changamoto zetu........!!

Aksanten nawasilisha

 
Posted : March 5, 2024 9:02 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 

Fanya 100k nikupe saa moja kali sana 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:33 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Nionyeshe kwanza niione.

 
Posted : April 8, 2024 6:36 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 
image
image
image
image
image
image
image

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:45 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Serious? 

 
Posted : April 8, 2024 6:49 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 

Serious Sister,we lipia kesho niitie kwenye mzigo.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:52 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

@jonson-john Ukinidanganya nitawaalibia kila sehemu hutoamini,poa nalipa naomba Lipa namba.

 
Posted : April 8, 2024 6:53 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 

Nikudanganye kivipi?

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:55 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

usije kunibadilishia saa ukanitumia saa tofauti na hii itakuwa vita hapa.

 
Posted : April 8, 2024 6:56 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 

Hapana hatufanyi hizo biashara dada yangu,ukipata saa yako usikae kimya njoo hapa utoe ushuhuda.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 6:58 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Lipa Namba 6866794. ndio hii?

 
Posted : April 8, 2024 7:01 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 

Exactly 

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 7:02 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Tayari.

 
Posted : April 8, 2024 7:03 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 459
Seller
 

Asante nitaituma nitakujulisha mzigo ukifika asante sana.

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 8, 2024 7:05 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Poa.

 
Posted : April 8, 2024 7:05 am
(@senforoza)
Posts: 26
DIG-PESA
Topic starter
 

Asante nipata.

 
Posted : April 16, 2024 9:23 am

Leave a reply

Author Name

Author Email

Title *

My Media   or drag and drop it here. Max file size 1GB
 
Preview 0 Revisions Saved

DIGXAM

FREE
VIEW