Notifications
Clear all

Urgently Wanted TZ Nina kampuni ya ujenzi, natafuta mtu mwenye vifaa vya ujenzi

3 Posts
3 Users
0 Reactions
530 Views
(@amoni)
Posts: 4
1k Pay Cash
Topic starter
 

Nina kampuni valid ya ujenzi, natafuta mtu mwenye vifaa kama grader. Kazi si tatizo, mimi ni mhandisi niko kwenye hii field.

Call xxxxxxxxxx for more information.


 
Posted : March 5, 2024 11:52 am
Jasusi Mweusi
(@jasusi-mweusi)
Posts: 44
1k Pay Cash
 

Mkuu kwema mashine zipo za kutosha vipi uko mkoa gani mbona namba yako siioni bosi tuyanjenge?


 
Posted : March 5, 2024 11:56 am
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 546
100M Trade Bond
 

Vipi umepata?


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : April 1, 2024 6:51 pm