Notifications
Clear all

Digxam [Sticky] Pricing Plans

149 Posts
70 Users
176 Reactions
1,894 Views
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

 

The Low Pricing Managed Solution For Every one. Simple Pricing and flexible Plans For Any Beget. 

1.BASIC 30,000.

2.SLIVER 50.000.

3.SLIVER PLUS 100.000.

4.GOLD 200.000.

5.GOLD PLUS 400.000.

6.TRUSTED 500,000.

7.TRUSTED PRO 700.000.

8.UNLIMITED 1,000.000.

 
Posted : February 14, 2024 10:52 am
Jecha, Aisha, EmmyName and 94 people reacted
Husan Jusa
(@husan-jusa)
Posts: 17
Deposit 100,000
 

Nice 👍 

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Justin Omundi
(@justin-omundi)
Posts: 22
 

Posted by: @Anonymous

Cost ni elf 50,000-hadi 1ml  kwa mwaka kulinga na mahitaji yako kupitia kwenye platform zetu.

 

Namimi naomba uniunganishe nione inakuwaje?

 

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Tayari.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
Justin Omundi
(@justin-omundi)
Posts: 22
 

Asante 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😱😱🇹🇿🇿🇦

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Mnaweza kilipia baada ya kupata ofa kabla ya kuondolewa kwenye paid member ship.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Justin Omundi
(@justin-omundi)
Posts: 22
 

Tunalipaje naomba jina ya malipo usiniondoe 

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @justin-omundi

Tunalipaje naomba jina ya malipo usiniondoe 

Chagua njia moja wapo kati ya kulipia kwa njia ya bank Simu au PayPal.

 

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
Donatha Mshamba
(@donatha-mshamba)
Posts: 21
 

Namimi naomba uniunge nishawishika naweza kulipia hii membership haloooo.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Sawa nitakuunga free kwa siku mbili tu.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Donatha Mshamba
(@donatha-mshamba)
Posts: 21
 

Asante!

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 
 

Njia ya kulipia membership yako ni Hii hapa,tumia  lipa kwa Simu,unaweza kutumia lipa Kisha Tunza receipt yako inaweza hitajika.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@emanuel-justnine)
Posts: 11
Deposit 100,000
 

Naomba na mimi niunganishwe.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Josephe chacha
(@josephe-chacha)
Posts: 20
 

Naomba na mimi niungwe bhanaa nikizichanga nitatoa

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Allan Madenge
(@allan-madenge)
Posts: 22
 

Namimi ikikupendeza niunge.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
 

Hata mimi pia.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Mwalimu Group Co LTD
(@mwalimu-group-co-ltd)
Posts: 13
Deposit 100,000
 

Nimelipa angalia malipo kutoka kwenye jina la Kampuny yangu.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Tayari nimekuunganisha.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Mwalimu Group Co LTD
(@mwalimu-group-co-ltd)
Posts: 13
Deposit 100,000
 

Ok sawa.

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Hirano Motohiro
(@hirano-motohiro)
Posts: 25
Seller
 

Noted 

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Twaha Fadhiri
(@twaha-fadhiri)
Posts: 25
 

Sawa niunge 

 
Posted : March 1, 2024 9:50 am
EmmyName reacted
Mzawa
(@mzawa)
Posts: 17
Karibu! Public Figure
 

Habari natafuta pamp la mbele la Toyota furtuner na taa zake naomba uniunge  nimeshindwa kuhudumiwa naomba uniunge kifurushi cha 24hrs  nipate huduma.

 
Posted : March 1, 2024 10:21 am
EmmyName reacted
Moderator
(@moderator)
Posts: 111
Moderator
 

@neema Ndiyo ada ndio hiyo.

Share pages zetu ujipatie Zawadi kemkemke,kama Laptops,Simu Janja,Saa za smart nk,kujiunga Bonyeza Link

 
Posted : March 1, 2024 10:54 am
(@neema)
Posts: 28
 

@moderator  mkipunguza mimi ndio nitakuwa wa kwanza kulipia

 
Posted : March 1, 2024 10:57 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

meruly
(@meruly)
Posts: 31
Deposit 200,000
 

Naomba niunganishwe na Trusted package naomba lipa namba. 

 
Posted : March 2, 2024 1:05 pm
EmmyName reacted
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@meruly  6866794 Digxam Trades

 
Posted : March 2, 2024 1:12 pm
meruly
(@meruly)
Posts: 31
Deposit 200,000
 

@admin Tayari mkuu.

 
Posted : March 2, 2024 1:14 pm
(@mutalemwa)
Posts: 17
Deposit 200,000
 

Habari

 
Posted : March 5, 2024 5:40 am
EmmyName reacted
(@senforoza)
Posts: 26
 

ref 2334555

 
Posted : March 5, 2024 7:55 am
EmmyName reacted
(@nathansimon)
Posts: 2
0.000
 

Huu nfumo unaweza kuwa mzuri sana japokua ni mpya.

 
Posted : March 5, 2024 11:40 am
EmmyName reacted

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Natoa ofa kwa watu 5 wa mwanzo ku coment  kupa Membership bure bila kulipa pesa, itafanya kazi kwamuda wa mwaka moja, utapa haki asawa na memebers wengine waliolipia pesa.

Chafunya comment neno,naomba kuungwa na huduma ya 

 Paid membership au Trusted Membership bure.

 

Muda ni masaa 24 hadi kesho saa moja kamili  jioni kwa saa za Africa masharaki.

 
Posted : March 7, 2024 4:20 pm
Aza
 Aza
(@aza)
Posts: 17
0.000
 

Habari mimi Aza naomba kuungwa na huduma ya 

 Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 4:27 pm
(@janeth)
Posts: 2
Deposit 200,000
 

Naomba kuungwa na huduma ya  Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 4:30 pm
(@shadia)
Posts: 7
Deposit 200,000
 

Naomba kuungwa na huduma ya  Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 4:31 pm
(@kidali)
Posts: 16
Deposit 100,000
 

Naomba kuungwa na huduma ya  Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 4:33 pm
(@shadida)
Posts: 2
0.000
 

naomba kuungwa na huduma ya  Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 4:59 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@amoori-mahabudu)
Posts: 18
Deposit 200,000
 

naomba kuungwa na huduma ya  Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 5:19 pm
(@kasusura)
Posts: 7
 

Habari  naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 5:32 pm
(@ndalama)
Posts: 15
Deposit 50,000
 

Naomba niunganishwe.

 
Posted : March 7, 2024 8:50 pm
(@ndalama)
Posts: 15
Deposit 50,000
 

Higera sana! Acha twende na wakati.

 
Posted : March 7, 2024 8:54 pm
EmmyName reacted
(@majid)
Posts: 25
Unlimited Member
 

Habari mimi Majid  naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 9:17 pm
(@samsoni-sarapioni)
Posts: 16
Deposit 50,000
 

Habari mimi naomba kuungwa na huduma ya  Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 7, 2024 10:24 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Victor Mtungamo
(@victor-mtungamo)
Posts: 13
 

Naomba kuunganishwa.

 
Posted : March 7, 2024 10:38 pm
(@karuta)
Posts: 27
Deposit 100,000
 

naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.

 
Posted : March 8, 2024 6:25 am
(@kidali)
Posts: 16
Deposit 100,000
 

🖐️ 🖐️ 🖐️ 🖐️ 🖐️ 🖐️ 🖐️ 🖐️ 🖐️ chante chamani

 
Posted : March 8, 2024 1:33 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Ahsante kwa kushiriki  tukijaliwa siku nyingine.

 
Posted : March 8, 2024 4:22 pm
 Gily
(@gily)
Posts: 15
0.000
 

Mungu alipenda

 
Posted : March 8, 2024 10:32 pm
(@kashangaki)
Posts: 20
 

Safii sana 😢 

 
Posted : March 13, 2024 8:26 am

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@gerard)
Posts: 11
 

Ngoja nipitie tena.

 
Posted : March 13, 2024 9:37 am
Director Rahimu Producer
(@director-rahimu-producer)
Posts: 19
 

Point correction.

 
Posted : March 13, 2024 9:42 am
(@guguleth)
Posts: 11
Deposit 200,000
 

Ok

 
Posted : March 13, 2024 10:12 am
(@senforoza)
Posts: 26
 

Sawa

 
Posted : March 13, 2024 10:38 am
Fundi Magari
(@fundi-magari)
Posts: 11
Service Provider
 

Asante kwa taarifa.

 
Posted : March 16, 2024 2:55 pm
EmmyName reacted
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Kimeongeza access unawza kupa huduma zaidi ya mwanzo.

 
Posted : March 20, 2024 1:51 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
 

Nataka kuhamia kwenye kifurushi kibwa zaidi ya hiki nifanyeje?

 
Posted : March 20, 2024 2:02 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @malingumu

Nataka kuhamia kwenye kifurushi kibwa zaidi ya hiki nifanyeje?

Lengo nini utaka ufanyeje?

 

 
Posted : March 20, 2024 2:07 pm
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
 

Nataka kushiri minada yote.

 
Posted : March 20, 2024 2:13 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@malingumu OK sawa lipia 50,000 Kisha nitakuunganisha na kifurushi kipya chenye uwezo zaidi.

 
Posted : March 20, 2024 2:15 pm
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 39
 

@admin Sawa nikilipia nitakuambia.

 
Posted : March 20, 2024 2:23 pm
(@senforoza)
Posts: 26
 

Nimenunua Laptop 💻 vipi itafika lini?

 
Posted : March 20, 2024 2:26 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@senforoza Tayari umelipia?

 
Posted : March 20, 2024 2:28 pm
(@senforoza)
Posts: 26
 

@admin Bado sijalipia sijapewa maelekezo yoyote.

 
Posted : March 20, 2024 2:30 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@senforoza sawa nenda comment chini ya hiyo thread Kisha tag admin nitakuja hapo.

 
Posted : March 20, 2024 2:32 pm
(@senforoza)
Posts: 26
 

Tag ni kufanya je?

 
Posted : March 20, 2024 2:33 pm
(@senforoza)
Posts: 26
 

Na tag vipi naomba unifundishe.

 
Posted : March 20, 2024 2:34 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Fanya hivi @admin hapo umenitagi nitaona.

 
Posted : March 20, 2024 2:36 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

(@senforoza)
Posts: 26
 

Ok sawa!

 
Posted : March 20, 2024 2:36 pm
(@senforoza)
Posts: 26
 

👍 

 
Posted : March 20, 2024 2:39 pm
Justin Omundi
(@justin-omundi)
Posts: 22
 

Nataka ku up grade kwenye kifurushi cha Kutoa huduma naongeza ngapi?

 
Posted : March 20, 2024 2:41 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@justin-omundi  bei ya kufuru ni 300,000 toa 50,000 utalipa 250,000.

 
Posted : March 20, 2024 2:45 pm
Justin Omundi
(@justin-omundi)
Posts: 22
 

@admin Hiki kifurushi mbona kwenye list ya vifurushi hakuna?

 

nimekitafuta sana sijaona naomba unitimie link nikipitie nione kimebeba nini nani?

 
Posted : March 20, 2024 2:47 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @justin-omundi

@admin Hiki kifurushi mbona kwenye list ya vifurushi hakuna?

 

nimekitafuta sana sijaona naomba unitimie link nikipitie nione kimebeba nini nani?

Kitatoka kwenye next update nitaku tag.

 

 
Posted : March 20, 2024 2:51 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Asante sana kwa kushiriki kuliza maswali na kujiunga na vifurushi.

 
Posted : March 20, 2024 3:16 pm
EmmyName reacted
 Sus
(@sus)
Posts: 5
0.000
 

Habari 

 
Posted : March 20, 2024 5:28 pm
EmmyName reacted
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 433
Seller
 

Nomba

Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : March 23, 2024 4:54 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Hii ni Habari njema kwa wateja wetu wote popote mlipo,Tumewaletea kifushi kibwa kupita vyote kitakuwezesha kufanya mambo yafuatayo.

1.kitakuwezesha kuuza bidhaa kwenye minda kwa bei ya Jumla na rejareja ndani na nje ya Nchi bila kikomo.

2.Nikizuri kwa wafanya biashara  wanafanya biashara za,

A.Bishara zote za Magari Makubwa na Madogo.

B.Wafanya biashara wanahitaji kununua bidhaa za jumla zenye dhamini kubwa kama Spare za Magari na bidhaa nyingi za dhamani kubwa.

C.Wakandalasi wa majengo Barabara nk watanufaika na kifurushi hiki.

D.wamiliki wa Shule pia watenufaika na kigurudhi hili,watanunua na kuagiza Magari kwanjia ya mnada kwajiki ya matumizi ya Shule.

 

 

 

 

 
Posted : March 23, 2024 5:52 pm
(@karanga)
Posts: 22
Deposit 50,000
 

Sijaelewa vuzuri kuhusu  hiki kifurushi nfano nahitaji bidhaa kutoka kwenu nikiwa hichi kifurushi nitaingia kwenye minada nitanunua kisha mtanisafirishia na kunikabidhi hata kama mzigo wa milioni 500?

 
Posted : March 23, 2024 6:13 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@karanga  Hapana kazi ya hiki kifurushi ni kwenye minada tu kwenye platform zingine kama kuagia sio lazima uwe na kifurushi chochote.

Hiki kifurushi kinakuzesha kununua bidhaa ya dhamani yoyote kwenye minada tu,nfano kuna wauzaji kwenye minada wanaweka bidhaa za bei kubwa kwa muda wa saa moja mnada unatakiwa uishe kama unakufurushi hiki unaweza kununua vitu vyenye dhamani kubwa kisha unalipia baada ya mnada kuisha.

 

 

 
Posted : March 23, 2024 6:21 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

(@kabandwa)
Posts: 35
0.000
 

Hapa boss mbona pamekua pagumu kila siku vifurushi vipya sisi tusiokuwa na uwezo wa kunua vifurushi tuondoke?

 
Posted : March 23, 2024 6:53 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@kabandwa Kwani huduma gani umeikosa hapa? Kuhudu vifurushi kuanzia kifurushi cha kwanza hadi cha mwisho kwajili ya minada tu.

hata kama ungekuwa wewe utaweza kuendesha minada bila washiriki kuwa na vifurushi kwajili kumlinda muuzaji na uwajibikaji kwa pande zote mbili.

 

Tumia majukwa ya bure kupata huduma,agiza mzigo wako bila kutumia minada  naomba tusipotoshe mambo hapa asilimia 80 ni bure boss wangu jaribu ilizia kitu chochote sehemu yoyote ukishindwa kuingia niambie Niko hapa.

 
Posted : March 23, 2024 7:05 pm
Kabandwa reacted
(@kabandwa)
Posts: 35
0.000
 

@admin Sawa lakini kuna kaubaguzi fulani nfano hapa kwenye profile kuna zero balance kwanini umefanya hivyo kwani usiche wazi bila kuandika chochote?

Kuna siku niliagiza MP3 hadi leo sijajibiwa wakati watu wengine wenye Depost wanajibiwa chap kwa haraka hii nayo vipi imekaaje bro.

 

 
Posted : March 23, 2024 7:10 pm
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@kabandwa Hapana sio ubaguzi bro 😎 ukisgiza bidhaa kama sellers hawana wanapwasa wakujibu kwa hii bidhaa hakuna,lakini swali lako la pili kama umelipia kifurushi bado uko zero balance nikosa naomba muda hadi kesho mapema utapata kifurushi chako.

 
Posted : March 23, 2024 7:18 pm
(@kabandwa)
Posts: 35
0.000
 

Sawa mkuu.

 
Posted : March 23, 2024 7:24 pm
Kaganda
(@kaganda)
Posts: 49
 

Napenda sana kufatilia minada chakushanga nimeondolewa kwenye minada siwezi kushiriki nabaki mtazamaji mbona mzingua?

 
Posted : March 23, 2024 9:15 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@barbershop)
Posts: 15
0.000
 

Posted by: @kaganda

Napenda sana kufatilia minada chakushanga nimeondolewa kwenye minada siwezi kushiriki nabaki mtazamaji mbona mzingua?

Akikujibu ni tag,watumeodolewa wote wamebaki wakulipia tena bila taarifa.

 

 
Posted : March 23, 2024 9:19 pm
(@kidedea)
Posts: 12
0.000
 

Ushauri wangu kwa admin ikikupendeza tutengenezee kajukwa katu kadogo kamunada kavitu vyenye gharama na fuu kidogo tuzungushe mitaji yetu mdogo ndogo mitaji yetu ikukua basi nasisi tunafanya kweli ushauri ni huu sio kwaubaya wote wapambanaji.

 
Posted : March 23, 2024 9:26 pm
(@jitumirabaminne)
Posts: 8
Service Provider
 

interested.

 
Posted : March 23, 2024 9:29 pm
Mercy Njunwa
(@mercy-njunwa)
Posts: 5
0.000
 

Niwazo zuri tajiri huna baya,

 
Posted : March 23, 2024 9:32 pm
(@father-house)
Posts: 21
0.000
 

Upande wangu siwezi kulaumu admin kwasabu kaweka tozo kwenye majukwa machachesana kwenye minada kwingine free,upandewangu siwezi kumlaumu mida kua free pia inakosa maana watu wanafanya fujo sana kwasabu hatuna cha kupoteza nadhani tutumie majukwaa mengine kupata huduma.

 
Posted : March 23, 2024 9:39 pm
Jasusi Mweusi
(@jasusi-mweusi)
Posts: 42
0.000
 

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 admin piga watu ban wasikuzoee i see angalia koments za kusagiana kungunu tupu,ukicheka na  nyani utavuna mabua.

 
Posted : March 23, 2024 9:45 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week.

 Zulu
(@zulu)
Posts: 24
0.000
 

Achane ujinga tutaonekana wote wahuni tutawekwe kapuni kwaushundwa kutumia uhuru viziri hapa kunapindi tuliwekwa kapuni kila kituma ujumbe ukaa week unasikilia Awaiting moderation tutarudi huko.

 
Posted : March 23, 2024 9:52 pm
 Beka
(@beka)
Posts: 16
0.000
 

😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍 ila nyie jamaa akiamka atakuta wateja wakutosha wa kifurushi kimpya.

 
Posted : March 23, 2024 9:58 pm
Dura
 Dura
(@dura)
Posts: 28
Service Provider
 

Ngoja  nikabet zangu alooo kipiga mshinda nitarudi.

 
Posted : March 23, 2024 10:03 pm
Dura
 Dura
(@dura)
Posts: 28
Service Provider
 

Tunaonekana wote waswazi i see 

 
Posted : March 23, 2024 10:08 pm
Zaituni
(@zaituni)
Posts: 21
0.000
 

Sasa admin nimemuelewa hizi ni fujo ndio maana tumefungiwa kushiriki midadana jiandaeni kufungiwa kila kona.

 
Posted : March 23, 2024 10:12 pm
(@janeth-zahoro)
Posts: 18
0.000
 

@zaituni 🤗 🤗 🤗 🤗

 
Posted : March 23, 2024 10:17 pm

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.

(@janeth-zahoro)
Posts: 18
0.000
 

Hawa jamaa ni wanjanja sana wakiona sehemu inavuja wanamimina zege 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 kunawatu walifikiri huu ni mtandao wa kijamii.

 
Posted : March 23, 2024 10:21 pm
Suzani
(@suzani)
Posts: 18
0.000
 

Habari za asubuhi hivi nikinunua hiki kifurushi kwa uzoefu wako nutapata bei gani kwamwezi.

 
Posted : March 24, 2024 6:50 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

@suzani Unaka unitumie kufanya nini?

 
Posted : March 24, 2024 6:53 am
(@Anonymous 1)
Posts: 250
Topic starter
 

Posted by: @zulu

Achane ujinga tutaonekana wote wahuni tutawekwe kapuni kwaushundwa kutumia uhuru viziri hapa kunapindi tuliwekwa kapuni kila kituma ujumbe ukaa week unasikilia Awaiting moderation tutarudi huko.

Hapa ni uhuru kwa kila mtu anahiki ya kuingea sema tatizo hapa sio sehemu yake hii thread inaongelea jambo moja kifurushi kipya

 

 
Posted : March 24, 2024 6:56 am
Page 1 / 2

THIS IS AN ADVEVERTISING SPACE.

The low-Price Managed ADs Is Solution For Everyone .

This is An Offer!! Each ad is $1 Per Week. More Info.


Digxam

FREE
VIEW