1.BASIC 30,000.
2.SLIVER 50.000.
3.SLIVER PLUS 100.000.
4.GOLD 200.000.
5.GOLD PLUS 400.000.
6.TRUSTED 500,000.
7.TRUSTED PRO 700.000.
8.UNLIMITED 1,000.000.
Namimi naomba uniunganishe nione inakuwaje?Cost ni elf 50,000-hadi 1ml kwa mwaka kulinga na mahitaji yako kupitia kwenye platform zetu.
Mnaweza kilipia baada ya kupata ofa kabla ya kuondolewa kwenye paid member ship.
Chagua njia moja wapo kati ya kulipia kwa njia ya bank Simu au PayPal.Tunalipaje naomba jina ya malipo usiniondoe
Namimi naomba uniunge nishawishika naweza kulipia hii membership haloooo.
Sawa nitakuunga free kwa siku mbili tu.
Njia ya kulipia membership yako ni Hii hapa,tumia lipa kwa Simu,unaweza kutumia lipa Kisha Tunza receipt yako inaweza hitajika.
Nimelipa angalia malipo kutoka kwenye jina la Kampuny yangu.
Habari natafuta pamp la mbele la Toyota furtuner na taa zake naomba uniunge nimeshindwa kuhudumiwa naomba uniunge kifurushi cha 24hrs nipate huduma.
Naomba niunganishwe na Trusted package naomba lipa namba.
@admin Tayari mkuu.
Natoa ofa kwa watu 5 wa mwanzo ku coment kupa Membership bure bila kulipa pesa, itafanya kazi kwamuda wa mwaka moja, utapa haki asawa na memebers wengine waliolipia pesa.
Chafunya comment neno,naomba kuungwa na huduma ya
Paid membership au Trusted Membership bure.
Muda ni masaa 24 hadi kesho saa moja kamili jioni kwa saa za Africa masharaki.
Habari mimi Aza naomba kuungwa na huduma ya
Paid membership au Trusted Membership bure.
Naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
Naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
Naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
Habari naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
Habari mimi Majid naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
Habari mimi naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
naomba kuungwa na huduma ya Paid membership au Trusted Membership bure.
Ahsante kwa kushiriki tukijaliwa siku nyingine.
Ngoja nipitie tena.
Point correction.
Sawa
Kimeongeza access unawza kupa huduma zaidi ya mwanzo.
Nataka kuhamia kwenye kifurushi kibwa zaidi ya hiki nifanyeje?
Lengo nini utaka ufanyeje?Nataka kuhamia kwenye kifurushi kibwa zaidi ya hiki nifanyeje?
@malingumu OK sawa lipia 50,000 Kisha nitakuunganisha na kifurushi kipya chenye uwezo zaidi.
@admin Sawa nikilipia nitakuambia.
Nimenunua Laptop 💻 vipi itafika lini?
@admin Bado sijalipia sijapewa maelekezo yoyote.
@senforoza sawa nenda comment chini ya hiyo thread Kisha tag admin nitakuja hapo.
Fanya hivi @admin hapo umenitagi nitaona.
Nataka ku up grade kwenye kifurushi cha Kutoa huduma naongeza ngapi?
@justin-omundi bei ya kufuru ni 300,000 toa 50,000 utalipa 250,000.
@admin Hiki kifurushi mbona kwenye list ya vifurushi hakuna?
nimekitafuta sana sijaona naomba unitimie link nikipitie nione kimebeba nini nani?
Kitatoka kwenye next update nitaku tag.@admin Hiki kifurushi mbona kwenye list ya vifurushi hakuna?
nimekitafuta sana sijaona naomba unitimie link nikipitie nione kimebeba nini nani?
Asante sana kwa kushiriki kuliza maswali na kujiunga na vifurushi.
Nomba
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿
Hii ni Habari njema kwa wateja wetu wote popote mlipo,Tumewaletea kifushi kibwa kupita vyote kitakuwezesha kufanya mambo yafuatayo.
1.kitakuwezesha kuuza bidhaa kwenye minda kwa bei ya Jumla na rejareja ndani na nje ya Nchi bila kikomo.
2.Nikizuri kwa wafanya biashara wanafanya biashara za,
A.Bishara zote za Magari Makubwa na Madogo.
B.Wafanya biashara wanahitaji kununua bidhaa za jumla zenye dhamini kubwa kama Spare za Magari na bidhaa nyingi za dhamani kubwa.
C.Wakandalasi wa majengo Barabara nk watanufaika na kifurushi hiki.
D.wamiliki wa Shule pia watenufaika na kigurudhi hili,watanunua na kuagiza Magari kwanjia ya mnada kwajiki ya matumizi ya Shule.
Sijaelewa vuzuri kuhusu hiki kifurushi nfano nahitaji bidhaa kutoka kwenu nikiwa hichi kifurushi nitaingia kwenye minada nitanunua kisha mtanisafirishia na kunikabidhi hata kama mzigo wa milioni 500?
@karanga Hapana kazi ya hiki kifurushi ni kwenye minada tu kwenye platform zingine kama kuagia sio lazima uwe na kifurushi chochote.
Hiki kifurushi kinakuzesha kununua bidhaa ya dhamani yoyote kwenye minada tu,nfano kuna wauzaji kwenye minada wanaweka bidhaa za bei kubwa kwa muda wa saa moja mnada unatakiwa uishe kama unakufurushi hiki unaweza kununua vitu vyenye dhamani kubwa kisha unalipia baada ya mnada kuisha.
Hapa boss mbona pamekua pagumu kila siku vifurushi vipya sisi tusiokuwa na uwezo wa kunua vifurushi tuondoke?
@kabandwa Kwani huduma gani umeikosa hapa? Kuhudu vifurushi kuanzia kifurushi cha kwanza hadi cha mwisho kwajili ya minada tu.
hata kama ungekuwa wewe utaweza kuendesha minada bila washiriki kuwa na vifurushi kwajili kumlinda muuzaji na uwajibikaji kwa pande zote mbili.
Tumia majukwa ya bure kupata huduma,agiza mzigo wako bila kutumia minada naomba tusipotoshe mambo hapa asilimia 80 ni bure boss wangu jaribu ilizia kitu chochote sehemu yoyote ukishindwa kuingia niambie Niko hapa.
@admin Sawa lakini kuna kaubaguzi fulani nfano hapa kwenye profile kuna zero balance kwanini umefanya hivyo kwani usiche wazi bila kuandika chochote?
Kuna siku niliagiza MP3 hadi leo sijajibiwa wakati watu wengine wenye Depost wanajibiwa chap kwa haraka hii nayo vipi imekaaje bro.
@kabandwa Hapana sio ubaguzi bro 😎 ukisgiza bidhaa kama sellers hawana wanapwasa wakujibu kwa hii bidhaa hakuna,lakini swali lako la pili kama umelipia kifurushi bado uko zero balance nikosa naomba muda hadi kesho mapema utapata kifurushi chako.
Sawa mkuu.
Napenda sana kufatilia minada chakushanga nimeondolewa kwenye minada siwezi kushiriki nabaki mtazamaji mbona mzingua?
Akikujibu ni tag,watumeodolewa wote wamebaki wakulipia tena bila taarifa.Napenda sana kufatilia minada chakushanga nimeondolewa kwenye minada siwezi kushiriki nabaki mtazamaji mbona mzingua?
Ushauri wangu kwa admin ikikupendeza tutengenezee kajukwa katu kadogo kamunada kavitu vyenye gharama na fuu kidogo tuzungushe mitaji yetu mdogo ndogo mitaji yetu ikukua basi nasisi tunafanya kweli ushauri ni huu sio kwaubaya wote wapambanaji.
interested.
Niwazo zuri tajiri huna baya,
Upande wangu siwezi kulaumu admin kwasabu kaweka tozo kwenye majukwa machachesana kwenye minada kwingine free,upandewangu siwezi kumlaumu mida kua free pia inakosa maana watu wanafanya fujo sana kwasabu hatuna cha kupoteza nadhani tutumie majukwaa mengine kupata huduma.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 admin piga watu ban wasikuzoee i see angalia koments za kusagiana kungunu tupu,ukicheka na nyani utavuna mabua.
Achane ujinga tutaonekana wote wahuni tutawekwe kapuni kwaushundwa kutumia uhuru viziri hapa kunapindi tuliwekwa kapuni kila kituma ujumbe ukaa week unasikilia
😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍 ila nyie jamaa akiamka atakuta wateja wakutosha wa kifurushi kimpya.
Ngoja nikabet zangu alooo kipiga mshinda nitarudi.
Tunaonekana wote waswazi i see
Sasa admin nimemuelewa hizi ni fujo ndio maana tumefungiwa kushiriki midadana jiandaeni kufungiwa kila kona.
Hawa jamaa ni wanjanja sana wakiona sehemu inavuja wanamimina zege 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 🤩 kunawatu walifikiri huu ni mtandao wa kijamii.
Habari za asubuhi hivi nikinunua hiki kifurushi kwa uzoefu wako nutapata bei gani kwamwezi.
Hapa ni uhuru kwa kila mtu anahiki ya kuingea sema tatizo hapa sio sehemu yake hii thread inaongelea jambo moja kifurushi kipyaAchane ujinga tutaonekana wote wahuni tutawekwe kapuni kwaushundwa kutumia uhuru viziri hapa kunapindi tuliwekwa kapuni kila kituma ujumbe ukaa week unasikilia