Njia gani itumike k...
 
Notifications
Clear all

Njia gani itumike kushawishi watu wanunue vitu online

Africa Music
(@africa-music)
Posts: 14
Honorable Member
Topic starter
 
BBE5FCB8 E843 4829 8027 1A3E204B6B7D
406B64E9 43AC 4729 A22E 283FFDBE4B5E
6F3D3C65 F126 46BA 9587 03F2454ED8B3

Unafikiri kwanini wimbi la watu  wanapanda Mabasi,Daladala Pikipiki wengine  kutoka mkoa moja kwenda mkoa mwinginw kwajili ya kunua nidhaa kwajili ya matumizi na biashara badala ya kununua kwanjia ya mtandao.

Wakazi wa Dar Es Salaam pia usafiri kutoka sehemu mbalimbali kwenda Kariakoo na masaoko mengine kwajili ya kununua vitu kwajili ya kunua vitu kwajili ya matumizi bibafsi pamoja na biashara jambo ambalo usababisha foleni,msongamano,hadi baadhi ya watu kuibiwa pesa zao nakurudi bila kutimiza malengo yao.

Swali ni je kwanini watu wanaona ni bora kwenda Sokoni au Dukani kuliko kutumia njoa za online,toa maoni yako kwenye comment section.


 
Posted : December 22, 2025 10:47 am
Joy Christoph, Rola and Isaya reacted
Isaya
(@isaya)
Posts: 8
Honorable Member
 

Mazoe ujenga tabia.


 
Posted : December 22, 2025 3:35 pm
Lucas
(@lucas)
Posts: 33
25M Trade Bond
 

Zamani watu walikuwa wanatuma barua kwanjia ya post, stamp zilinunuliwa sana kipondi hicho.


 
Posted : December 22, 2025 3:42 pm
Rola
 Rola
(@rola)
Posts: 18
700K Trade Bond
 

Hii mada ni mzuri sana,ngoja nikae sit ya mbele.


 
Posted : December 22, 2025 4:41 pm
Malingumu
(@malingumu)
Posts: 42
50K Pay Cash
 

Nchi yetu ikonyuma kilakitu,wabaongo wengi wamaishi ki-analogia wanalala wanapatausingizi na kukoroma 😓 😓 😓 😓 😓 😓 😓 😓


 
Posted : December 22, 2025 4:57 pm

Malingumu
(@malingumu)
Posts: 42
50K Pay Cash
 

Kwaiyo unataka tukilala tufanyeje sana tusikorome kisa nini 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 shida nini watu kazi hatuna we are not busy 

Ukiwa na mitikasi yako ya kufanya hivi unaweza kwenda sehemu kama karikoo kufanya nini kujemaa watu wengi sana kuanzia saa 10 asubuhi Magari yanapita vituoni yamaejaa hadi saa sita mchano.


 
Posted : December 22, 2025 5:17 pm