Notifications
Clear all

Mabadiliko kwa watumiaji wote kuelekea 2026

Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

#Mabadiliko.

Mabadiliko tunayoenda kuyafanya kama  ifutavyo.

#Visitors Members

Itakulazimu ku login au kujisajili kuingia kwenye  Forums zote,tutaacha baadhi zitakazoonekana  kwa visitors wetu.

#Registered Members.

Kuna baadhi ya contents ,Forums au Categories utaweza kuingia lakini itakulazimu kulipia au kuwa na Trade Bond au Pay Trade ili kushiriki au kununua,nfano kama,minada na baadhi ya majukwaa ya kuuza na kununua.

#Registered Members 

Registered Members wenye accounts za kulipia za Pay Trade na Trade Bond zenye dhamani ndogo pia kuna baadhi ya majukwaa wataweza kuingia lakini itakuwa ngumu kushiriki kama ku comments au Kubid bidhaa na kuuza au kununua.Lengo la madaliko haya ni kuboresha huduma na kuondoa changamoto mbalimbali ikipo

  • Mnunuzi kukubalina na muuzaji bei kisha mnunuzi kukaa kimya.
  • Kupandisha bei za minada kiolela.
  • Kutokufanya malipo kwa wakati.

 

#Registered Members wenye  Trade Bond na Pay Trade.

 

Utatumia Trade Bond au Pay Trade kama dhamana ya kununua bidhaa kwenye Platform zote online .

Ukifanya Binding bila kuwa serious na bidhaa Bond yako itatumika pia kumlipa muuzaji.

Nawatakiwa heli ya mwaka mpya 2026 watumiaji na wapenzi wote wa Digxam 

 

  • #Muhimu 

Share hii post kisha subscribe kupata update kwa comments.

Pia tunakaribisha maoni na ushauri juu ya uamuzi huu,kila mdau atoe maoni yake.

by Digxam Team.


 
Posted : December 30, 2025 9:57 am
Fundi Simu reacted
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 25
500k Trade Bond
 

Haya mabadiliko yatatumiiza sana!

Nfano mimi nauza simu zangu kupitia kwenye planform ya simu wateja wangu wanalipa pesa kupitia kwa admin kisha namtumia mteja wangu simu baada ya kupokea simu mteja ana mtag admin kwamba kapata mzigo wake biashara imeenda vizuri Admin anaitumia changu je  uoni kama nitashindwa kuingia kwenye forum ya simu nakukosa wateja kabisa?

Kwakifupi watu wa chini tunaumia kila sehemu ndio kwanza wateja wameanza kuzoe hii mifumo yenu kwanini msingoje kidogo kwanza angalau tufanya biashara ili tulipe Trade Bond kilakitu kiende sawa?


 
Posted : December 30, 2025 10:27 am
Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

@fundi-simu Asante  kwa maoni yako,

1.Trade sio lazima deposit cash kwenye account zetu,unaweza pia kupata Trade bond kwa kuweka dhamana ya kitu chochote kwetu officen.

2.Trade Bond unaweza kupata kwaku dhaminiwa na mtu mwenye ajira ya kudumu.

3.Unaweza kuwekewa dhamana na mtu mwenye Duka.nk 

jaribu njia hizo tatu mkuu,haya mabadiliko tunataka kuyafanya sio kwa ubaya bali tunakuwekea mazingira mazuri ya biashara ya online kwa baadae.

 

 


 
Posted : December 30, 2025 10:38 am
Fundi Simu
(@fundi-simu)
Posts: 25
500k Trade Bond
 

@moderator Kaka hizo njia ni politics tupu  nilishafatilia gharma za kupa Trade bila deposit ni ngumu sana  nikubwa kuliko kuweka depost cash kwenye account.

 

Chonde chonde mkuu niko chini ya miigu yako. 


 
Posted : December 30, 2025 10:44 am
Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

@fundi-simu Asante kwa ushauri mzuri tutaufanyia tutakupa mrejesho.

Asent kwa kuchagua Digxam.


 
Posted : December 30, 2025 10:47 am

zoom

(@zaitun)
Posts: 15
1k Pay Cash
 

Niko pamoja nanyie kwenye upande seriousness kwenye biashara kila mtu ashinde mechi zake  madiliko ni muhimu sana.Mimi natumia app yenu kwasabu ya usalama kwaiyo kiongeza mbinu za kubana watu wenye mawazo potofu wakiamini online ni sehemu ya kunfa mizaa sio kweli.

Concern  yangu kwenu iko hivi mimi ni subscribe nachangia 1,000 kwa mwezi kuwezesha huduma hii iwepo kwanini watu kama sisi tusipewe angalau kipaumbele  tuka pass kwenye moderation system naumia sana kutuma ujumbe kisha nikaambiwa waiting for moderator au approve  hili buku nachangia la nini?


 
Posted : December 30, 2025 11:07 am
Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

@zaitun Asante kwa maoni na ushauri 

 

jambo hili tunalifanyia kazi wakubwa zangu nimewatag tungoje watupa mrejesho.

Asante sana kwa kuchangua Digxam

 


 
Posted : December 30, 2025 11:12 am
Huruma
(@huruma)
Posts: 6
Honorable Member
 

Wabongo ni wageni wa touchingly kunasiku nikuwa naongea na rafiki yangu nje ya online nikamwambia huu ujinga wataukomesha soon tena last week  kama nilikuwepo lazima ifike muda tuwe serious kama maisha yalivyo.

 

Online software kama hizi utakovyo kuja ndivyo utapokelewa watu wanajifanya kuzoze techinalojia  nakufanya sandakalawe kisa mtu ana bando kala ndondo na ugali kashiba  sasa wale mlinifanyia fujo kwenye post yangu ya biashara zangu njoo huku mtoe milio kuanzi 2026 hakuna kuingia kwenye biashara za   mtu na kumuleta uzushi mala bei gani mala nimepanda dau  bila kuwa na uwezo wa kununua @kabanza 

Hii ilikuwa weakness kubwa sana kwenye mifumo yenu baada ya last year kuzindua hii future ya  Trade Bond nfumo uliowafukuza wahuni wote nakukimbilia kusikojulika sasa zamu ya wazushi twende mdogo ndogo tutafika mazee.

Hii itaongeza idada kubwa ya watu kuendele kutumia huduma zenu nikipo mimi mpenda amani mtoto wa chuga ,big up sana. 


 
Posted : December 30, 2025 11:28 am
Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

@huruma Maoni yako unakubalina na sisi kufanya mabadiliko haya right?

 

asante kwa mchango wako.


 
Posted : December 30, 2025 12:51 pm
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 579
100M Trade Bond
 

Mko sawa kabisa.


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿

 
Posted : December 30, 2025 12:58 pm

Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

@jonson-john Asante kwa kuchagua Digxam


 
Posted : December 31, 2025 6:57 am
Ally Kanagawa
(@ally-kanagawa)
Posts: 144
100M Trade Bond
 

Mbona mumekata umeme mapema kabla ya muda?


 
Posted : December 31, 2025 6:58 am
Moderator
(@moderator)
Posts: 167
Moderator
Topic starter
 

@ally-kanagawa 🤣🤣🤣🤣🤣😎🤣🤣 Tuko Live boss 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿


 
Posted : December 31, 2025 7:00 am