Notifications
Clear all

Nahitaji baiskel moja ya laki moja au pungufu ya hapo

 Amos
(@amos)
Posts: 1
Honorable Member
Topic starter
 

 
Posted : December 4, 2025 6:03 am
Jonson John reacted
Jonson John
(@jonson-john)
Posts: 579
100M Trade Bond
 

@amos Unataka bsikeli ya watoto watu wazima, maintain au aina gani boss?


Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Darβœ… Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.βœ…βœ…πŸ‘πŸ’ͺπŸ™πŸΏ

 
Posted : December 4, 2025 6:28 am
Zulu
 Zulu
(@zulu)
Posts: 34
20M Trade Bond
 

Unataka baiskeli ya aina gani boss na size ngapi?


 
Posted : December 4, 2025 1:40 pm
Lux
 Lux
(@lux)
Posts: 27
Service Provider
 
B3CC4266 9136 478B BD01 84D07E1C089E

hiyo lipia 100,000.


 
Posted : December 6, 2025 1:16 pm