Kama Unahitaji Samaki au Chakula cha Kuku(1,) Weka Order Yako(2.)Lipia (3.)Pokea Mzigo Wako(4.)Tupe maoni yako.
Nilipata hapapa boss siku nyingine.
@kidedea Poa Karibu sana.
Kila Tarehe 27 Mwisho wa mwezi,tunapakia Container kutoka Japan kwenda Dar✅ Lipia mzigo wako mapema week moja kabla ya mzigo kuondo.✅✅👍💪🙏🏿